kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 8,625
- 12,194
Hongera sana, mliwanyonga watu, vitu vingine ni kutumia akili kidogo sana. Hata kinyumba cha nyasi chenye umeme kilikatwa kodi. Aliyetoa hilo wazo analingana na ili kauli ya Wakenya kuwa standard 3 wa Kenya akija Tz atakuwa mwalimu wa chuo hapa Tz.