Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Nimefanya biashara ya vitenge kutoka Holland. Nilishirikiana na wenzangu mzigo ulishukia Ghana. Kwakuwa nilikuwa ninaanza, wateja walikuwa wananifuata nyumbani.
Nimewasiliana na kiwandani watakuwa wananitumia mzigo bandari ya Dar. Mzigo ni mkubwa, ni mpango wa kufungua duka la wholesale.
Nikishalipia mzigo bandarini na leseni ya duka, kuna kodi ya ziada?
Nimewasiliana na kiwandani watakuwa wananitumia mzigo bandari ya Dar. Mzigo ni mkubwa, ni mpango wa kufungua duka la wholesale.
Nikishalipia mzigo bandarini na leseni ya duka, kuna kodi ya ziada?