Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Ndugu wapendwa mabibi na mabwana haswa wana Yanga wenzangu poleni sana, sana kwa yaliyotokea huko Tanga, kila jambo lina mapenzi mema siku zote.
Nieleze kifupi tu, kuna baadhi ya maombo hawa Makocha wapya A.K.A Wazungu wanahitaji kukubali ushirikiano na hasa kwa ma captain ama wazoefu waliowakuta.
Wanasema penalty haina mwenyewe ila pale unapoweza kurekebisha unafanya hivyo. Niwapongeze watani wangu hakika mlijipanga kwa penalty na mwisho waliocheza mpira mzuri ndio walioshindwa niwapongeze sana kwa hili.
Capt. wetu alijaribu kupendekeza wapiga penalty lakini kulikuwa na sitonfahamu kidogo, Kocha Mkuu nae akawa na watu wake kifupi hata wale wawili waliokosa penalty capt. wetu alishawapinga wasipige na kupendekeza wanaoweza kupiga wakishirikiana na wachache wa Kocha Mkuu.
La hasha kocha na watu wake wakaenda kupiga, hakika Capt. wetu aliumia sana sana baada ya mechi.
Si haba mpira tumecheza, bingwa Simba SC, Mnyama kila la kheri Watani, tukutane Ligi yetu pendwa.
Nieleze kifupi tu, kuna baadhi ya maombo hawa Makocha wapya A.K.A Wazungu wanahitaji kukubali ushirikiano na hasa kwa ma captain ama wazoefu waliowakuta.
Wanasema penalty haina mwenyewe ila pale unapoweza kurekebisha unafanya hivyo. Niwapongeze watani wangu hakika mlijipanga kwa penalty na mwisho waliocheza mpira mzuri ndio walioshindwa niwapongeze sana kwa hili.
Capt. wetu alijaribu kupendekeza wapiga penalty lakini kulikuwa na sitonfahamu kidogo, Kocha Mkuu nae akawa na watu wake kifupi hata wale wawili waliokosa penalty capt. wetu alishawapinga wasipige na kupendekeza wanaoweza kupiga wakishirikiana na wachache wa Kocha Mkuu.
La hasha kocha na watu wake wakaenda kupiga, hakika Capt. wetu aliumia sana sana baada ya mechi.
Si haba mpira tumecheza, bingwa Simba SC, Mnyama kila la kheri Watani, tukutane Ligi yetu pendwa.