Kocha mpya wa Simba kuwasili usiku huu

Kocha mpya wa Simba kuwasili usiku huu

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,444
Reaction score
10,272
Kuna taarifa zimenifikia kuwa kocha mpya wa simba atawasili usiku huu nchini. Je, kocha huyo ni nani? Tuvute subira
 
Umeuacha hapa JF ila kwenye vibanda umiza Watu huwa wanakuchora tu we KOLO [emoji847]
Katika maisha yangu sijui vijiwe wala vibanda umiza.
To be honest hizi timu za kutumia ndumba kamwe sizifagiliii.
Unaona kabisa akina mipili wanajivunia uchawi jadharani.
Makolo nao bila aibu ugenini wanachoma ndumba haaa
 
Katika maisha yangu sijui vijiwe wala vibanda umiza.
To be honest hizi timu za kutumia ndumba kamwe aizifagiliii.
Unaona kabisa akina mipili wanajivunia uchawi jadharani.
Makolo nao bila aibu ugenini wanachoma ndumba haaa
2D7CA0AE-2657-4A49-AE13-1FF4CFC14202.jpeg
 
Back
Top Bottom