Kocha Moroko na kingerezašŸ˜‚šŸ¤£

Kocha Moroko na kingerezašŸ˜‚šŸ¤£

JimCarrey

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
227
Reaction score
142
Oya kama unakubali kingereza Cha kocha Moroko weka msemo wake mmoja hapo chini
 
Nimeona hiyo interview, Mi naona anajitahidi jamani, sie watz tunakasumba ya kuchekana sana sijui kwann, yaani sehemu zote kingereza kikitumika mtu anatizama ni wapi mtu kakosea, English Si lugha mama yetu...halafu shida huwa hatupractice unajikuta unamiss some words, ushauri wangu ni hivi ukiwa wewe kazi Yako inahusisha kuongea lugha fulani au kufanya interviews mara kwa mara make sure unajitahidi kumaster, inawezekana...!
 
Ana kinge kizuri kwa level ya watz "in 2025 minutes"
 
Back
Top Bottom