Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,493
- 45,832
Namjua vizuri sana huyu kiumbeIla Pia Koboko aka Black mamba Anakimbizwa mpaka ana panda Kwenye mti,Anakimbizwa na Nguchiro,hawa ambao hats hapa Dar wapo,mi ninao
Google andika Fight Mangroves Vs Black mamba.
Ukiangalia post za nyuma utaona nilichoandika
Ila hii imenishangaza ya koboko kumshangaa panya
Sio kawaida yake kwani ni mkorofi sana na mshari