KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,160
- 33,021
Huyu ni hatari sana lakini naona wadau wengine wameshapata mwanya wa kupitishia porojo zao humo humo!!!!!!.....
Sawa penye wengi pana mengi
Sawa penye wengi pana mengi
Hicho kilichosimama mkiani hata chatu si anacho? hata cobra pia
Home boiNipo chunya huku wako wengi ni nyoka hatari sana wanaweza kuua ng'ombe mia kwa dakika chache tu!..
Maeneo ya maili tano ndo territory ya hawa viumbeNipo chunya huku wako wengi ni nyoka hatari sana wanaweza kuua ng'ombe mia kwa dakika chache tu!..
Hilo chekeche linapatikana kwenye vifutu wa Amerika.Hicho kilichosimama mkiani hata chatu si anacho? hata cobra pia
mkuu naona huu uzi na giza vina mahusiano makubwaHilo chekeche linapatikana kwenye vifutu wa Amerika.
Kwa nini mkuu?!!mkuu naona huu uzi na giza vina mahusiano makubwa
huu uzi mara nyingi huanza kuchangiwa mida ya jioni mpaka usiku mnene,ila mchana ni mara chache sanaKwa nini mkuu?!!
Nimekuelewa.huu uzi mara nyingi huanza kuchangiwa mida ya jioni mpaka usiku mnene,ila mchana ni mara chache sana
Hivi kwa nn hawa viumbe inasemekana wako wengi sana Chunya na Tabora?Maeneo ya maili tano ndo territory ya hawa viumbe
Nahisi mapori manene nayo yanachangiaHivi kwa nn hawa viumbe inasemekana wako wengi sana Chunya na Tabora?
Chunya ina sehemu kubwa ya misitu tena minene yani kuna siku niliingia pori moja yani lina giza yani mpaka Leo nahisi huenda nilikua mtu wakwanza kuingia lile pori tangu liumbwe na m.mungu ko hayo ni mazingira rafiki maana koboko hapendi sehemu yenye keleleHivi kwa nn hawa viumbe inasemekana wako wengi sana Chunya na Tabora?
Chunya ina sehemu kubwa ya misitu tena minene yani kuna siku niliingia pori moja yani lina giza yani mpaka Leo nahisi huenda nilikua mtu wakwanza kuingia lile pori tangu liumbwe na m.mungu ko hayo ni mazingira rafiki maana koboko hapendi sehemu yenye keleleHivi kwa nn hawa viumbe inasemekana wako wengi sana Chunya na Tabora?
Huyu vipers ndo yupi
Bongo yupo kweli
Hicho kilichosimama mkiani hata chatu si anacho? hata cobra pia
Nimesikia habar za Chunya kuwa na Misitu ya KuogofyaChunya ina sehemu kubwa ya misitu tena minene yani kuna siku niliingia pori moja yani lina giza yani mpaka Leo nahisi huenda nilikua mtu wakwanza kuingia lile pori tangu liumbwe na m.mungu ko hayo ni mazingira rafiki maana koboko hapendi sehemu yenye kelele