permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,328
- 15,037
This shouldn't happen now Jesus
Haya ona aibu kwa maneno yako ya dharau, upuuzi umekujaa.
Helicopter sio safe kabisa. Zatakiwa kuachwa maana watu wengi maarufu wamekufa kwenye hayo madude
Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu nina Rafk yangu wa kike akipita hata njiani akiona msiba....Umelia. Mimi imeniuma lakini kufika hatua ya kulia mbali mno kwa mtu ambaye sifahamiane naye wala hagusi maisha yangu




Harden shida yake ni consistency, Ila ni mchezaji mzuri sana.The G.O.A.T alifanya makubwa he was good on three points.
Harden wangu ananiangusha
Umenifanya nicheke Mkuu! Ni kweli, kuna watu nahisi wana kipaji cha kulia na kuhuzunika. Mie nina rafiki yangu nikimueleza habari yoyote ya msiba/ugonjwa, maneno yake ni "I am soo devastated, heartbroken, this is sooo sad" .Mkuu nina Rafk yangu wa kike akipita hata njiani akiona msiba....
Utabembeleza mpk mnafika mwendako...
Sent using Jamii Forums mobile app