Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,937
- 69,220
Klabu ya Yanga leo Agosti 19, 2022 imetangaza kuingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya Marketing ambayo ipo chini ya mtaalamu wa Marketing nchini KELVIN TWISA.
Mkataba huo kati ya Johnson Group na Yanga SC unalenga kuinufaisha klabu hiyo kwa kufungua fursa zaidi kwa wawekezaji na wadhamini.
“Kazi yetu ni Kuiuza Yanga kwa Partners ambao wanaelewa thamani ya Yanga, kuleta biashara kwa Yanga, kutafuta wadhamini zaidi ya waliopo, kuongeza thamani ya Yanga kwa kutimiza ahadi ambazo wanapata wale wadhamini wao,” CEO Jackson Group, Kelvin Twisa.
Source: Azam TV
Mkataba huo kati ya Johnson Group na Yanga SC unalenga kuinufaisha klabu hiyo kwa kufungua fursa zaidi kwa wawekezaji na wadhamini.
“Kazi yetu ni Kuiuza Yanga kwa Partners ambao wanaelewa thamani ya Yanga, kuleta biashara kwa Yanga, kutafuta wadhamini zaidi ya waliopo, kuongeza thamani ya Yanga kwa kutimiza ahadi ambazo wanapata wale wadhamini wao,” CEO Jackson Group, Kelvin Twisa.
Source: Azam TV