Klabu Bingwa Dunia: Al Ahly yatota kwa Fluminense, yachapwa 2-0

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,517
Mabingwa wa soka wa Afrika kwa ngazi ya vilabu Al Ahly ya Misri imechapwa mabao 2-0 na mabingwa wa vilabu wa Amerika ya Kusini Fluminense ya Brazil.

Fluminence sasa imetinga fainali ya Ijumaa hii na inamsubiri mshindi wa kesho kati ya mabingwa wa vilabu vya Ulaya Manchester City ya Uingereza na Urawa Red Diamonds ya Japan ambao ni mabingwa wa vilabu vya Asia.

Al Ahly alianza vyema mchezo huo kabla ya kupotezwa na Fluminense kwenye kipindi cha pili. Fluminense iliyokuwa ikiongozwa na wakongwe Marcelo na Philipe Melo iliwapoteza kabisa Al Ahly kwenye kipindi cha pili.
 
Mabingwa wa soka wa Afrika kwa ngazi ya vilabu Al Ahly ya Misri imechapwa mabao 2-0 na mabingwa wa vilabu wa Amerika ya Kusini Fluminense ya Brazil.

Fluminence sasa imetinga fainali ya Ijumaa hii na inamsubiri mshindi wa kesho kati ya mabingwa wa vilabu vya Ulaya Manchester City ya Uingereza na Urawa Red Diamonds ya Japan ambao ni mabingwa wa vilabu vya Asia.

Al Ahly alianza vyema mchezo huo kabla ya kupotezwa na Fluminense kwenye kipindi cha pili. Fluminense iliyokuwa ikiongozwa na wakongwe Marcelo na Philipe Melo iliwapoteza kabisa Al Ahly kwenye kipindi cha pili.
Si tuliambiwa Simba na Yanga wamepitishwa kwa mlango wa nyuma?
 
Mabingwa wa soka wa Afrika kwa ngazi ya vilabu Al Ahly ya Misri imechapwa mabao 2-0 na mabingwa wa vilabu wa Amerika ya Kusini Fluminense ya Brazil.

Fluminence sasa imetinga fainali ya Ijumaa hii na inamsubiri mshindi wa kesho kati ya mabingwa wa vilabu vya Ulaya Manchester City ya Uingereza na Urawa Red Diamonds ya Japan ambao ni mabingwa wa vilabu vya Asia.

Al Ahly alianza vyema mchezo huo kabla ya kupotezwa na Fluminense kwenye kipindi cha pili. Fluminense iliyokuwa ikiongozwa na wakongwe Marcelo na Philipe Melo iliwapoteza kabisa Al Ahly kwenye kipindi cha pili.
Kumbe ndiyo maana Michezo ya Al Ahly na Pyramids na ule wa Al Aah;y na CR Belouizdad iliahirishwa
 
Amerika kusini huuza moja Kwa moja kwenda ulaya tena timu kubwa tu, mcheza ndondo huko akija afrika anacheza ligi kuu kabisa na anacheza safi kabisa, kwanza wastaafu wengine wabrazili wakimaliza kucheza ulaya huenda nyumbani (brazili) kumalizamaliza, vipaji huko vimejaa Hadi vinamwagika, mpira Brazil ni industry inayochukuliwa serious kuliko hata kula.
 
Refa alikuwa fair sehemu nyingi nilimkubali kwa hilo

Ila mpaka pale alipoamua penati kwenye obstruction kati ya Tau na Marcelo.

Kwasababu tukio la Marcelo kuanguka chini na kutafsiriwa kama faulo halikusababishwa na Tau bali Marcelo ndio aliacha mpira na kujikuta amecheza mwili wa Tau.

Na hapo ndio akaanguka chini na refa kufunika mkwaju wa penalti.

Refa hakutaka hata kujisumbua kwenda kuangalia VAR.

Fluminense hapo ndio ikawa imepata on target yake moja kwa dakika zote 71 za mchezo japo ilikuwa ina high possession.

Niliwaona Al Ahly wakipungua morali baada ya kuadhibuwa bao la penati.

Lakini bao la pili walilofungwa ilikuwa ni uzembe wa kipa wa kuwahi kutokea bila kupiga mahesabu. Japo kuna muda alitokea na akafanya save ila ilikuwa ni bahati tu.
 
Refa alikuwa fair sehemu nyingi nilimkubali kwa hilo

Ila mpaka pale alipoamua penati kwenye obstruction kati ya Tau na Marcelo.

Kwasababu tukio la Marcelo kuanguka chini na kutafsiriwa kama faulo halikusababishwa na Tau bali Marcelo ndio aliacha mpira na kujikuta amecheza mwili wa Tau.

Na hapo ndio akaanguka chini na refa kufunika mkwaju wa penalti.

Refa hakutaka hata kujisumbua kwenda kuangalia VAR.

Fluminense hapo ndio ikawa imepata on target yake moja kwa dakika zote 71 za mchezo japo ilikuwa ina high possession.

Niliwaona Al Ahly wakipungua morali baada ya kuadhibuwa bao la penati.

Lakini bao la pili walilofungwa ilikuwa ni uzembe wa kipa wa kuwahi kutokea bila kupiga mahesabu. Japo kuna muda alitokea na akafanya save ila ilikuwa ni bahati tu.
Kwamba unamaanisha Ile haikuwa penalty pamoja na uwepo wa VAR uwanjani? Achilia mbali hadhi ya mashindano yenyewe(FIFA competition)

Mashabiki mnaoangaliaga mpira huku mmetanguliza hisia mbele na matokeo yenu mfukono Huwa mna matatizo sana.
 
Kwamba unamaanisha Ile haikuwa penalty pamoja na uwepo wa VAR uwanjani? Achilia mbali hadhi ya mashindano yenyewe(FIFA competition)

Mashabiki mnaoangaliaga mpira huku mmetanguliza hisia mbele na matokeo yenu mfukono Huwa mna matatizo sana.
Kati ya Marcelo na Tau nani aliyemchezea faulo mwenzake?
 
Mabingwa wa soka wa Afrika kwa ngazi ya vilabu Al Ahly ya Misri imechapwa mabao 2-0 na mabingwa wa vilabu wa Amerika ya Kusini Fluminense ya Brazil.

Fluminence sasa imetinga fainali ya Ijumaa hii na inamsubiri mshindi wa kesho kati ya mabingwa wa vilabu vya Ulaya Manchester City ya Uingereza na Urawa Red Diamonds ya Japan ambao ni mabingwa wa vilabu vya Asia.

Al Ahly alianza vyema mchezo huo kabla ya kupotezwa na Fluminense kwenye kipindi cha pili. Fluminense iliyokuwa ikiongozwa na wakongwe Marcelo na Philipe Melo iliwapoteza kabisa Al Ahly kwenye kipindi cha pili.
Mbwahaawaaaa warudikwaoooo
 
Kati ya Marcelo na Tau nani aliyemchezea faulo mwenzake?
View attachment 2846880
Nenda kajifunze kwanza Sheria za mpira hasa zinahusu penalty incident ndio uje ubishe hapa.... Hapo Marcelo alichofanya ninku feint after running up na kujiweka kwenye nafasi ya mpira kitu ambacho kinafanywa na wachezaji wajanja wajanja duniani... Wewe kwa ajili yako unaamini referee na jopo lake la video assistants hawakufanya kazi yao vizuri na hapo Ahly wameonewa sivyo?

Acha kuangalia mpira kwa hisia angalia katika uhalisia wake
 
Nenda kajifunze kwanza Sheria za mpira hasa zinahusu penalty incident ndio uje ubishe hapa.... Hapo Marcelo alichofanya ninku feint after running up na kujiweka kwenye nafasi ya mpira kitu ambacho kinafanywa na wachezaji wajanja wajanja duniani... Wewe kwa ajili yako unaamini referee na jopo lake la video assistants hawakufanya kazi yao vizuri na hapo Ahly wameonewa sivyo?

Acha kuangalia mpira kwa hisia angalia katika uhalisia wake
Swali hujajibu

Kati ya Marcelo na Tau ni nani kamchezea mwenzake faulo?
 
Swali hujajibu

Kati ya Marcelo na Tau ni nani kamchezea mwenzake faulo?
Sidhani kama kuna foul labda wenzangu weja wanisaidie, issue ni kwamba marcelo yeye ndo alikuwa anamiliki mpira hivyo basi aliona kabisa percy anakuja kumkaba kwa nyuma kwahyo akatumia advantage hiyo ya kujiweke mbele ili akiguswa2 iwe faida kwake. NB siku hizi mchezaji akiwa kwenye box inabidi akabwe kama yai tofauti na miaka ya zamanii
 
Kati ya Marcelo na Tau nani aliyemchezea faulo mwenzake?
View attachment 2846880
Marcelo ni professional ameitafuta penati akapata , ilikuwa ni penati dhahiri Kama mtu upo neutral hupendelei upande wowote .
Marrcelo aliweka mguu kulinda Mpira usichukuliwe huku anaelekea goli akaangushwa.

Al ahly huwa mwisho wake ni nusu fainali Kwenye haya mashindano na ameshiriki Mara nyingi kuliko timu yoyote duniani .

Tp Mazembe alifika fainali 2010 akapigwa 0-3 na inter Milan , nusu fainali alimfunga internacional ya Brazil 2-0.

Raja Casablanca alifika fainali 2013 akapigwa 0-2 na Bayern Munich , nusu fainali alimfunga atletico Mineiro ya Brazil 3-1 .
Al ahly arudi kutuonea wenzake caf.
 
Back
Top Bottom