hayo ndo matarijio ya wanaSimba walio wengi ila mchezo una matokeo tofauti na matarajio unayoyategemea.Kwa nini Mtani wakati nasikia mnadai points 6 toka kwa El Merekh ni zenu.
ukiondoa kuimalika....Simba ya mwaka huu imebadirika sana tofauti na ile ya mwanzo wa ligi,Msimu huu Simba anaingia kivingineAs vita sio ile iliotupiga 5, Simba tumeimarika sasa
Saa 4 usiku kwa saa za bongoGemu saangapi chief?
Ramli chonganishiKuwatoa hofuView attachment 1700801
Mtu anapigwa goli 5 alafu kwenye jezi ameandika visit Tanzania hakika hawa jamaa wamedhamilia kuiabisha nchi kimataifaLeo simba anaenda kutia aibu bendera yetu na wimbo wa taifa, naiomba serikali iwazuie simba kutumia nembo za nchi wakiwa mechi za ugenini
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app