hapana wewe ni muongo, tena muonga hasa.
Mchungaji aliekuwapo usharika wa Sinza alihaishiwa Usharika wa ukonga miaka mitatu iliopita, na kanisa lile la Sinza [KKKT] wakapatiwa Mchungaji mwingine.
kwa uelewa wangu makanisa ya Kilutheri yooote yana utaratibu wakusoma mapato na matumizi ya kila juma, ya kila robo mwaka , na mapato ya mwaka....kazi za maendeleo zoote huchambuliwa kila hatua.
nijuacho , ujenzi wa makanisa ya KKKT katika miongo mitatu sasa unaendeshwa na waumini wenyewe, hakuna misaada kutoka nnje.
waumini WaTz, ni waumini masikini [wengi wao] , kweli wamekuwa wakijitoa, ila kuna wakati ujenzi unafikiea hatua ngumu.
sasa kanisa la Sinza limefikia kwenye hatua ngumu, hatua ngumu ya kumalizia-finishing....taratibu watamaliza.
TUEPUKE UONGO NA MAJUNGU.