X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Wenzenu uko Uropa na Marikani, wanazipiga vita hizo burger kwa sababu zinasababisha matatizo ya kiafya, uku mnaanza kuzifanyia promo...!
Ni wakati umefika sasa hayo maduka kuanza kuuza Ugali wa Bada, Mahindi au unga wa Mtama... Na mikate ya Mabumunda.
Ni wakati umefika sasa hayo maduka kuanza kuuza Ugali wa Bada, Mahindi au unga wa Mtama... Na mikate ya Mabumunda.