Kizazi Cha Sasa Hivi Bwana!

Dah aise asanta sn kwa pic hii,nimecheka mpk bs,tatizo nataka niikopi kwenye BB yangu inakataa.
 
Natumaini hapo baadae tutakua na wasanii wengi sana kwakua naona kama sanaa ya mziki inalipa!
Alaji.JPG

Miaka hiyo bana.. twakogelea na twanywa maji ya kwenye dimbwi..hakuna cha tumbo la kuhara wala kichocho...full afya..!!
 
ndallo sio cha sasa tu hata sisi wengine tumecheza sana michezo hiyo enzi za utoto wetu
 
picha nzuri,waone wenyewe hao wanaenjoy,very innocent kids,afya nzuri,furaha tele,mwenye ENZI Mungu awape umri na awazidishie afya nzuri
 
Hii picha ni ya zamani enzi za muziki wa MAYEBO YA KUPORA! Asante kwa kuihifadhi na nadhani na wewe mwenyewe Ndallo nadhani umo humo.
 
Hii picha inanivunja mbavu mbaya yani, huyo wa katikati Loketo wa baadae huyo, kipaji kishaonekana
 
Back
Top Bottom