Kizazi Cha Sasa Hivi Bwana!

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Natumaini hapo baadae tutakua na wasanii wengi sana kwakua naona kama sanaa ya mziki inalipa!
Alaji.JPG
 
picha nzuri sana hii nimeipenda... Harafu hawa watoto ni wa Musoma...kama sio Kenya...Murah..namang'ana
 
jamani, sio kosa lao, kosa ni la eneo wanalokaa kijijini hakuna gari wala kamera, sasa walipoona gari na mtu anapiga picha ikabidi wachizike ki vileji vileji
 
Nadhani ilikuwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.
 
The best thing about these kids is that they look happy and seem to enjoy whatever little things they have in their lives - there are people out there who have almost everything they desire in life and yet happiness remains so elusive to them...
 
Back
Top Bottom