Natumaini hapo baadae tutakua na wasanii wengi sana kwakua naona kama sanaa ya mziki inalipa![/
Umepata wapi picha hii, huyu wa kulia ni mimi nilipokua mdogo
Natumaini hapo baadae tutakua na wasanii wengi sana kwakua naona kama sanaa ya mziki inalipa!
ako kakatikati kanaonekana katundu kupitiliza
wamemechisha, huyo wa pili toka kulia naona anakatika kinoma