Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Mimi kuanzia leo sichangii,mpaka kila mtu atakapothaminiwa katika nchi hii na kama ni sheria kuchukua mkondo wake na vyombo vya sheria kutenda haki sawasawa.
Ukiona nimechangia mada ujue nimewasiliana na mwanasheria wangu na kuniruhusu.
Nawatakia michango myema ya kusutana.
Ukiona nimechangia mada ujue nimewasiliana na mwanasheria wangu na kuniruhusu.
Nawatakia michango myema ya kusutana.