Kwanza yy ana kesi ya jinai huyu, hakufaa hata kuwa supika !!
huyu spika anatia huruma , hawa watawala historia itawahukumu
huyu spika anatia huruma , hawa watawala historia itawahukumu
Hotuba ya Kambi ya Upinzani inayosomwa sasa hivi yazua kizaa zaa
Halafu huyu naye tutakuja kumgharamia kama Spika mstaafu? Tukatae baada ya kuwang'oa magamba.huyu spika anatia huruma , hawa watawala historia itawahukumu
Moderators,
Mnapounganisha threads hebu angalieni ni ipi inatoa muelekeo wa threads na ina details ndio iwe kichwa, sentensi moja kama hii ya thread ya Zipuwama inaele elea tu hewani bila ku capture mtiririko wa thread haifai kuwa header, bora mngeweka hotuba ya Upinzani iliyobandikwa humu na Kiranja ambayo imeachwa in the middle of nowhwere.
Mwisho wake wameamua ile hotuba iliyorukwa asubuhi isisomwe kabisa.........hili litafika mwisho tu
Moderators,
Mnapounganisha threads hebu angalieni ni ipi inatoa muelekeo wa threads na ina details ndio iwe kichwa, sentensi moja kama hii ya thread ya Zipuwama inaele elea tu hewani bila ku capture mtiririko wa thread haifai kuwa header, bora mngeweka hotuba ya Upinzani iliyobandikwa humu na Kiranja ambayo imeachwa in the middle of nowhwere.