Kiza hutengeneza maumbo?

Kiza hutengeneza maumbo?

Wakati naskilizia kwenda chuo, kipindi kile ukimaliza F6 unasubiri mwaka mzima kuingia chuo, kitaani choka mbaya.

Mshikaji tu, mganga njaa,akanipa deal. Ana mteja mjeshi, anataka kumpiga hela ndefu. Akanimbia twende Makaburini saa 7 usiku.

Mchezo utakuwa. Mimi nijifiche jirani na kaburi ambalo yeye atafanyia kazi. Kisha yeye na mteja wake watakuja na yeye kufanya KISOMO kwa sauti, wakati wa kisomo akanambia niwe natoa muungurumo wa ajabu mixer ya mlio wa Punda na Ng'ombe. Na akizidi kusoma na Mimi nizidishe kelele. Kweli nikafanya kama nilivoagizwa.

Si mchezo. Ugali mtamu. Cinema ilivoanza, hata dk 3 hatukufika. Mjeshi alitoka mbio. Aliacha mpaka pick up yake waliokuja nayo na MGANGA wangu. Aisee. Giza noma sana.
 
Umesema ":Fanya jaribio hili usiku wa leo......zima taa zote kisha anza kuwaza(kutaswiri,au kuwaza na kutaswiri)kuhusu vibwengo,masgetani,majini,vinyamkera,n.k.,...utaviona live. ""

Lakini pia ukifumba.macho,ukiviwaza hivi vitu,utaviona. . Ukimuwaza Yesu pia utamuona.
 
Pia IPO hoi nukuu kutoka "The Hermit' by Lobsang Tampa page 109.
Hii ni maelezo mtu amejifungia ndani ya pango anatafakari.

" Sight would go. At first there would be vain straining against the perpetual blackness. Imagination would in the early stages supply strange" lights," almost authentic well-lit "scenes"
 
Umesema ":Fanya jaribio hili usiku wa leo......zima taa zote kisha anza kuwaza(kutaswiri,au kuwaza na kutaswiri)kuhusu vibwengo,masgetani,majini,vinyamkera,n.k.,...utaviona live. ""

Lakini pia ukifumba.macho,ukiviwaza hivi vitu,utaviona. . Ukimuwaza Yesu pia utamuona.
Perceptional of the inner mind
 
Mshana,Jr.umesoma hizi tantra ambapo mtu anawaza mandala,kasri, ya Deity. Anamfikiria Deity yumo mule ndani na consort wake. na huyo Deity anakuwa NA sura nyingi na mikono mingo na katika mikono ameshika vitu tofauti. Halafu wapo walinzi katika hiyo Kasri.
Jana usiku kucha nilikuwa nasikiliza tantra katika YouTube:anuttara yoga. Tantra lama vile kalachakra,guhyasamaja,hevajra,
 
Mshana,Jr.umesoma hizi tantra ambapo mtu anawaza mandala,kasri, ya Deity. Anamfikiria Deity yumo mule ndani na consort wake. na huyo Deity anakuwa NA sura nyingi na mikono mingo na katika mikono ameshika vitu tofauti. Halafu wapo walinzi katika hiyo Kasri.
Jana usiku kucha nilikuwa nasikiliza tantra katika YouTube:anuttara yoga. Tantra lama vile kalachakra,guhyasamaja,hevajra,
Mimi nilibase sana kwa Kuan ing ( kua in)pussa (bodhisattva) ilifika mahali hasa usiku mtulivu wakati ukisikiliza chanting kuna vitu unaviona katika uhalisia wa ajabu hasa maumbo ya hao deities na hata Mungu mkuu
 
.........
ff6c13c458ce77235b401fa2af0e50a7.jpg
 
Wacha kudanganya watu.

Siyo kiza kinachotengeneza "maumbo", huo ni ubongo wako una "hallucinate".

Ni fikra tu zinazokujia kwa ajili ya hadithi za kutishana na kutiana ujinga kama hizi.
 
Wakati naskilizia kwenda chuo, kipindi kile ukimaliza F6 unasubiri mwaka mzima kuingia chuo, kitaani choka mbaya.

Mshikaji tu, mganga njaa,akanipa deal. Ana mteja mjeshi, anataka kumpiga hela ndefu. Akanimbia twende Makaburini saa 7 usiku.

Mchezo utakuwa. Mimi nijifiche jirani na kaburi ambalo yeye atafanyia kazi. Kisha yeye na mteja wake watakuja na yeye kufanya KISOMO kwa sauti, wakati wa kisomo akanambia niwe natoa muungurumo wa ajabu mixer ya mlio wa Punda na Ng'ombe. Na akizidi kusoma na Mimi nizidishe kelele. Kweli nikafanya kama nilivoagizwa.

Si mchezo. Ugali mtamu. Cinema ilivoanza, hata dk 3 hatukufika. Mjeshi alitoka mbio. Aliacha mpaka pick up yake waliokuja nayo na MGANGA wangu. Aisee. Giza noma sana.
nilikuwa sikuisoma kwa makini hii reply yako umenikumbusha mganga mahela RIP alipiga sana hela kwa njia hiyo
 
Kuna siku nlikwama na gari porini ilikuwa mida ya saa9 usiku
***** nikaanza kusikia sauti ya roli aina ya scania linakuja
Nikiangalia nyuma ama mbele taa za hilo gari sizioni lkn mlio unazidi kusikika tu
Nliingia ndani ya gari langu nikapiga loki milango
Siku hio ndio nlipata jibu ya Kwanini chips hainaga ukoko
 
gallery/2f852d1b71136aa5b98d472a0e7e4661.jpg[/IMG][/QUOTE]

Sasa mkuu huyu akinitokea si nina mpelekea moto
 
Back
Top Bottom