Kiza hutengeneza maumbo?

Kiza hutengeneza maumbo?

Hata baadhi ya ndoto mbaya na majinamizi hutokana na kulala kizani na kuwaza mambo ya kutisha
cfbb565ca8b105eddbc35f6601de4994.jpg
838d2be60ad9cdea59684992afa8dcfa.jpg
ndio maana mara nyingi watu wenye hofu na giza hushauriwa walale bila kuzima taa..kitu ambacho kwangu ni mwiko kabisa
2f852d1b71136aa5b98d472a0e7e4661.jpg
hii picha no 3 haina tatizo sana japo ntaogopa mwanzoni ila ntajitahidi kushikilia.
 
Hata baadhi ya ndoto mbaya na majinamizi hutokana na kulala kizani na kuwaza mambo ya kutisha
cfbb565ca8b105eddbc35f6601de4994.jpg
838d2be60ad9cdea59684992afa8dcfa.jpg
ndio maana mara nyingi watu wenye hofu na giza hushauriwa walale bila kuzima taa..kitu ambacho kwangu ni mwiko kabisa
2f852d1b71136aa5b98d472a0e7e4661.jpg
Duh hali hiyo huwa inanikuta sana aisee na inatisha
 
Zamani nikingali motto ilikuwa nikimuona bundi mwili unasisimuka.
 

Attachments

  • owl-550.jpg
    owl-550.jpg
    38.8 KB · Views: 118
  • way-of-the-witch-owl-cushion-lisa-parker-b1511d5.jpg
    way-of-the-witch-owl-cushion-lisa-parker-b1511d5.jpg
    76.4 KB · Views: 87
Zamani nikingali motto ilikuwa nikimuona bundi mwili unasisimuka.
Huyu ndege huyu huku kwetu ni nuksi na mikosi ukimuona asubuhi nje ya nyumba yako lakini huko kwa wachina ni bonge la bahati
Japo hizi ni imani tu kutokana na tamaduni mbalimbali lakini imani huumba
 
Huyu ndege huyu huku kwetu ni nuksi na mikosi ukimuona asubuhi nje ya nyumba yako lakini huko kwa wachina ni bonge la bahati
Japo hizi ni imani tu kutokana na tamaduni mbalimbali lakini imani huumba
Nasikia ukipita mahali nywele zikasisimka huwa kuna vitu vya kishirikina, ni kweli?
 
Wewe wakati nasikia ukitembea na hayo madude ndo unawaona wachawi wakiride fisi wao, unataka nichizike
Hapana ni mpaka ufanye hivi
Ubebe ndukele
Ubadili nguo uivae tofauti au hata viatu Ufambe
Halafu usipepese macho
 
Back
Top Bottom