Hili ni funzo na weakness ya nchi nyingi za third world,kwanini tumtegemee mtu mmoja (raisi) kupambana au kuwa deal breaker wa wa mambo kama haya,tunahitaji very strong insitution ambazo ni fair,smart & independent ambazo upuuzi kama huu ukitokea ni straight up zinajua kazi yake na wala sio raisi au bunge....ingekuwa nchi kama US usingesikia jina la president wala nini sana sana kama yeye ni fisadi jamaa wangeenda after yeye na kumshtaki Congress ila vifisadi vingine vyote leo vingekuwa subpoenaed followed by heavy prosecution,huu ufisadi ni loopholes nyingi ambazo zipo kwenye consitution yetu,kazi wajomba tunayo maana kujenga taifa imara sio hizi temporary fix,inabidi tuanzie na katiba yetu ambayo itakuwa na check & balance sio ubabe wa mtu mmoja ambaye anaonekana kama mungu mtu na nchi nzima inategemea yeye maamuzi yake...je akiwa mjinga si ndio tumekwisha.