jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nampongeza JK kwa kuanzisha mchakato na nampongeza Magufuli kwa kuendeleza juhudi za kupambana na Malaria nchini.
Nawapongeza wadau wa afya kutoka nje na ndani ya nchi kwa kuusimamia na kuutekeleza mchakato.
Nawapongeza watumishi wa afya na kada nyingine kwa utendaji uliotukuka kuhakikisha malengo ya kuondoa malaria yakikaribia kufikiwa.
Nawashukuru wananchi kwauelewa juu ya madhara ya malaria na njia za kupambana nayo.
Hatimaye malaria nchini yapingu kwa kiasi cha asilimia zaidi ya 50%.
Nawapongeza wadau wa afya kutoka nje na ndani ya nchi kwa kuusimamia na kuutekeleza mchakato.
Nawapongeza watumishi wa afya na kada nyingine kwa utendaji uliotukuka kuhakikisha malengo ya kuondoa malaria yakikaribia kufikiwa.
Nawashukuru wananchi kwauelewa juu ya madhara ya malaria na njia za kupambana nayo.
Hatimaye malaria nchini yapingu kwa kiasi cha asilimia zaidi ya 50%.