Usiwe na mawazo mgando. Jali sana heshima kuliko ukwasi. Ukipata habari za hawa matajiri jasho litakutoka hasa hivi vijana vya siku hizi wengi upinde wa mvua ndio sehemu zao za kupatia maisha. Hapo ulipo furahi kipato chako. Zama zile kulikuwa na mzee mmoja maarufu sana akifanya kazi PPF akaja ATCL kafumua sana vijana marinda kwa tamaa zao.