sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,168
Habari wakuu,
Kuna habari nimeisikia jioni hii kuwa kiwanda cha tumbaku cha TTPL kilichopo mkoani Morogoro kinatarajia kuwapa redundancy wafanyakazi wake wote wa permanent na wale wa muda mfupi ambao wanazidi 2,400.
Issue ya kufungwa ni gharama ya uendeshaji na masoko. Zimbabwe ni mzalishaji mkuu wa tumbaku baada ya wazungu kuruhusiwa kuchukua mashamba yao makubwa hivyo tumbaku ya Tabora kukosa soko.
Wafanyakazi wote wanaotaka kuendelea na kazi mkataba ni mwaka mmoja moja na mishahara itapunguzwa hadi 50%.
Kama kuna mtu ana taarifa za uhakika njoo.
Kuna habari nimeisikia jioni hii kuwa kiwanda cha tumbaku cha TTPL kilichopo mkoani Morogoro kinatarajia kuwapa redundancy wafanyakazi wake wote wa permanent na wale wa muda mfupi ambao wanazidi 2,400.
Issue ya kufungwa ni gharama ya uendeshaji na masoko. Zimbabwe ni mzalishaji mkuu wa tumbaku baada ya wazungu kuruhusiwa kuchukua mashamba yao makubwa hivyo tumbaku ya Tabora kukosa soko.
Wafanyakazi wote wanaotaka kuendelea na kazi mkataba ni mwaka mmoja moja na mishahara itapunguzwa hadi 50%.
Kama kuna mtu ana taarifa za uhakika njoo.