t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,371
- 14,770
Hata ukizijua haki zako, mahakama za kusikiliza kesi zenyewe zipo ?Hatujui haki zetu tu
Sana sana utapigwa kalenda hadi kesi inakufa
Hata ukizijua haki zako, mahakama za kusikiliza kesi zenyewe zipo ?Hatujui haki zetu tu
Sometimes huwa nawaza ujamaa ndio umetuharibu tukawa hivi? Udugu... Undugu... Amani... my foot!Asee bongo tunachukulia vitu powa sana...
Jamaa watakavyokuzodoa sasa.... "Mkate tu Huyu jamaa vipi...si ale mihogo basi? Sad.Hata ukizijua haki zako, mahakama za kusikiliza kesi zenyewe zipo ?
Sana sana utapigwa kalenda hadi kesi inakufa
Wanatuchukulia poa sana.Asee bongo tunachukulia vitu powa sana...
Ni hapo anategemea kulipwa mkate mzima halafu anakuta wamemlipa kale kakipande kanako kosekana...Hahaha vyuma vimekaza Kenya
anaweza kulipwa hela piaNi hapo anategemea kulipwa mkate mzima halafu anakuta wamemlipa kale kakipande kanako kosekana...
Ha ha ha!!!! Wakenya mnatia aibu!!! Mkate wa shilingi elfu moja hapa kwetu!!! Kwenu ni vijisenti tu!!!!!Kiwanda cha kutengeneza mikate nchini Kenya cha Super Loaf kimemuomba radhi mteja wake Kelly Inyani aliyelalamika kukuta uwazi katikati ya mkate alionunua, jambo alilolitafsiri kama kupunjwa mkate ikilinganishwa na thamani ya fedha alizolipa.
Kiwanda hicho kimeahidi kumlipa fidia , japo haijafahamika ni fidia ya namna gani atakayolipwa.
Chanzo: Swahili Times
Alafu ndo huwa mazuri sasa..very tasteyNgoja kesho nimshitaki mama Ashura wa pale Mwembe yanga , maandazi anayoniuzia ndani yako wazi sana !
Wakenya nao mwanaume unaanzaje kulalamikia mkate jamani
Haaaapaanaaaaa.....! (Mkojani voice)Ha ha ha!!!! Wakenya mnatia aibu!!! Mkate wa shilingi elfu moja hapa kwetu!!! Kwenu ni vijisenti tu!!!!!
Kiwanda cha kutengeneza mikate nchini Kenya cha Super Loaf kimemuomba radhi mteja wake Kelly Inyani aliyelalamika kukuta uwazi katikati ya mkate alionunua, jambo alilolitafsiri kama kupunjwa mkate ikilinganishwa na thamani ya fedha alizolipa.
Kiwanda hicho kimeahidi kumlipa fidia , japo haijafahamika ni fidia ya namna gani atakayolipwa.
Chanzo: Swahili Times