Kiwanda cha Super Loaf chamuomba radhi mteja aliyekuta uwazi kwenye mkate. Chaahidi kumlipa fidia

Kiwanda cha kutengeneza mikate nchini Kenya cha Super Loaf kimemuomba radhi mteja wake Kelly Inyani aliyelalamika kukuta uwazi katikati ya mkate alionunua, jambo alilolitafsiri kama kupunjwa mkate ikilinganishwa na thamani ya fedha alizolipa.


Kiwanda hicho kimeahidi kumlipa fidia , japo haijafahamika ni fidia ya namna gani atakayolipwa.

Chanzo: Swahili Times
Ha ha ha!!!! Wakenya mnatia aibu!!! Mkate wa shilingi elfu moja hapa kwetu!!! Kwenu ni vijisenti tu!!!!!
 
Yaani ingekuwa mimi wangekuja kunilipa mahakamani, na faini juu. Yaani bora mtu anidhulumu kiwanja sio mkate au bagia.

Kwanza kama kampuni waoneshe barua ya kukiri hilo kosa la Dhulma na jamaa apeleke mashahidi na huo mkate. Kisha serikali ya Kenya ioneshe sheria ya kuihukumu kampuni hiyo lasivyo kampuni ifungiwe tu.
 
Superloof wameamua kujiongeza kwa kuleta Tangazo Dogo la biashara ili tujue wapo. Hongera zao wamefanikiwa
 
Kiwanda cha kutengeneza mikate nchini Kenya cha Super Loaf kimemuomba radhi mteja wake Kelly Inyani aliyelalamika kukuta uwazi katikati ya mkate alionunua, jambo alilolitafsiri kama kupunjwa mkate ikilinganishwa na thamani ya fedha alizolipa.


Kiwanda hicho kimeahidi kumlipa fidia , japo haijafahamika ni fidia ya namna gani atakayolipwa.

Chanzo: Swahili Times

Nikajua super loaf ya pale ubungo khaa kumbe kenya
 
Back
Top Bottom