BOMOA BOMOA ILIYOENDESHWA na askari wa kiongozi wa kidini Josephat Mwingira USIKU wa kuamkia jumapili, umekiacha kiwanda katika uharibifu mkubwa wa mali. Kiwanda hiki kinapatikana karibu na SUMA JKT (sehemu ya Lugalo JWTZ) kikipakana ka kanisa la EFATHA. ENEO hili lina mgogoro wa muda mrefu na kesi iko mahakamani.
Tinanga tinga, mabaunsa na walinzi wenye silaha walivamia kiwanda usiku saa 2, wakamkamata mlinzi, wakamnyang'anya simu, wakamfunga kisha wakaanza ubomoaji. Mitambo ya uchapishaji vitabu imeharibiwa vibaya, jengo, ofisi, samani za ofisi, nyaraka mbalimbali, vitabu na mali nyingine. Pia wizi ulitokea na vifaa mbalimbali zikiwemo kompyuta havionekani. Coverage ya habari hii kwenye vyombo vya habari haikupewa uzito. Lakini UKIMYA huu wa jamii pamoja na viongozi ni hatari sana kwa usalama wa watu hapo baadaye. UBABE PIA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI NI HATARI SANA HASA UKITENDWA NA VIONGOZI WA DINI.
Picha zinazoonyesha uharibifu huu nitazitoa muda wowote zitakapohitajika.:alien::hatari::hatari::hatari::hatari::hatari:
Tinanga tinga, mabaunsa na walinzi wenye silaha walivamia kiwanda usiku saa 2, wakamkamata mlinzi, wakamnyang'anya simu, wakamfunga kisha wakaanza ubomoaji. Mitambo ya uchapishaji vitabu imeharibiwa vibaya, jengo, ofisi, samani za ofisi, nyaraka mbalimbali, vitabu na mali nyingine. Pia wizi ulitokea na vifaa mbalimbali zikiwemo kompyuta havionekani. Coverage ya habari hii kwenye vyombo vya habari haikupewa uzito. Lakini UKIMYA huu wa jamii pamoja na viongozi ni hatari sana kwa usalama wa watu hapo baadaye. UBABE PIA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI NI HATARI SANA HASA UKITENDWA NA VIONGOZI WA DINI.
Picha zinazoonyesha uharibifu huu nitazitoa muda wowote zitakapohitajika.:alien::hatari::hatari::hatari::hatari::hatari: