Vickyhenry
New Member
- Sep 29, 2019
- 3
- 0
Eti wadau tuliopeleka cv kwenye kivuko cha Kigamboni TEMESA vipi kuna watu waliopata taarifa yoyote kuhusu mrejesho wa kazi
Et wadau tuliopeleka cv kwenye kivuko cha kigambon temesa vp kuna watu waliopata taarifa yoyote kuhusu mrejesho wa kaz
VickyEt wadau tuliopeleka cv kwenye kivuko cha kigambon temesa vp kuna watu waliopata taarifa yoyote kuhusu mrejesho wa kaz


walisema wanahitaji kidato ¢ha nne sasa kama uliweka masters yako sijuiso far wameomba watu 12,000 wenye masters zao ndani
Kama uliomba na hyo Master yako lazima wale kichwaso far wameomba watu 12,000 wenye masters zao ndani
Kama uliomba na hyo Master yako lazima wale kichwa
degree kibao zikiomba ila wenye akiri tuliji minimize wengine walizani sifa kuandika nina degree.😅😅 Waache wapotee kuna jamaa alisema hiko ndo kigezo cha kwanza yaani.![]()
degree kibao zikiomba ila wenye akiri tuliji minimize wengine walizani sifa kuandika nina degree.
Yes ukiweka lidigrii lako tu kwa CV wanakula kichwa😅😅 Waache wapotee kuna jamaa alisema hiko ndo kigezo cha kwanza yaani.
mtoto vick njoo pm...nawaza kwa sauti tu lazima utakuwa mweupe mrefu namba nane flan hiv amazing njoo pm mrembo tuone jins gan unapata kazEt wadau tuliopeleka cv kwenye kivuko cha kigambon temesa vp kuna watu waliopata taarifa yoyote kuhusu mrejesho wa kaz
Hahahahahamtoto vick njoo pm...nawaza kwa sauti tu lazima utakuwa mweupe mrefu namba nane flan hiv amazing njoo pm mrembo tuone jins gan unapata kaz
BASI SAWA , NGOJA TUOMBE UZIMA , TU .Majina naskia yametoka na watu wameshafanya interview na wameanza kazi week hii
Haha we jamaa hujakoma tu,umesemwa juzi tu,ukoje wewe?