Kivuko cha Kivukoni TEMESA

Kivuko cha Kivukoni TEMESA

HIVI KAMA UKIAMBIWA UJE NA VYETI VYOTE KATIKA NAFASI YA NTERNAL AUDITOR NA WEWE ULIJAZA BACHELOR DEGREE TUUU NA UNA CPA , THEN TANGAZO LA KAZI LILITAKA ONLY BACHELOR DEGREE ONLY JE SIKU YA USAILI SI WATAKUTOA KWENYE LIST YAO AU ??
 
HIVI KAMA UKIAMBIWA UJE NA VYETI VYOTE KATIKA NAFASI YA NTERNAL AUDITOR NA WEWE ULIJAZA BACHELOR DEGREE TUUU NA UNA CPA , THEN TANGAZO LA KAZI LILITAKA ONLY BACHELOR DEGREE ONLY JE SIKU YA USAILI SI WATAKUTOA KWENYE LIST YAO AU ??
Kwani kivukoni kulukuwa na hiyo nafasi ?
 
HIVI KAMA UKIAMBIWA UJE NA VYETI VYOTE KATIKA NAFASI YA NTERNAL AUDITOR NA WEWE ULIJAZA BACHELOR DEGREE TUUU NA UNA CPA , THEN TANGAZO LA KAZI LILITAKA ONLY BACHELOR DEGREE ONLY JE SIKU YA USAILI SI WATAKUTOA KWENYE LIST YAO AU ??
Nenda na cheti chenye qualification zilizopo kwenye tangazo la kazi
 
Leo ndio walipigiwa simu walienda ktk usahili tena, umefanyika wa kuandika
Watu 4000 walituma maombi mpaka
Eti wadau tuliopeleka cv kwenye kivuko cha Kigamboni TEMESA vipi kuna watu waliopata taarifa yoyote kuhusu mrejesho wa kazi
 
Eti wadau , hivi hapo kivukoni mishahara yao huwa inakuwaje , na malipo mengine plus contract duration mfano wakatisha na wakaguzi wa tiketi ?
 
Eti wadau , hivi hapo kivukoni mishahara yao huwa inakuwaje , na malipo mengine plus contract duration mfano wakatisha na wakaguzi wa tiketi ?
Emu pata kwanza kazi mzee mbona unapresha kweny mkataba wako utaviona tu ila navyojua Mimi awajamaa uwa wanatoa mkataba wa miezi 3 tu kwa wakazi wa kigamboni anaweza sema pia mahana uwa wanabadilika sana wafanyakazi pale naisi pana dili sana ndio mahan awatoi parmanent
 
Hello watanzania ,

Vp wameshaanza kuwaita watu kwa ajili ya oral interview ? Maana written ilifanyika , wiki iliyopita !! So kwa mweny infos tupe neno , aseeee .
 
Hello watanzania ,

Vp wameshaanza kuwaita watu kwa ajili ya oral interview ? Maana written ilifanyika , wiki iliyopita !! So kwa mweny infos tupe neno , aseeee .
Nilijua mwanangu upo job
 
Hello watanzania ,

Vp wameshaanza kuwaita watu kwa ajili ya oral interview ? Maana written ilifanyika , wiki iliyopita !! So kwa mweny infos tupe neno , aseeee .
Mlivyofanyishwa written mliandika namba au majina
 
Write your reply... Hapana mkuu nilfanya written ,nao nasubiri kama ntapita ili niitwe oral
 
Back
Top Bottom