Kivuko cha Kivukoni TEMESA

Kivuko cha Kivukoni TEMESA

Kwani Mambosasa anasemaje,pengine atalitolea ufafanuzi atakapokutana na waandishi wa habari
 
Wenzako wapo kazini tayari na mwisho wa mwezi huu wanatarajia kupiga mshahara wa kwanza
 
Wenzako wapo kazini tayari na mwisho wa mwezi huu wanatarajia kupiga mshahara wa kwanza
nakumbuka nili pigiwa , simu nkapokea , sasa kwny kuongea mimi ndo naongea , halo habari , haløo habari mara kama zote , sasa cha ajabu , hata sikupata response yoyote ghafla simu ikakata aftr 2 minutes , sasa dah , nkapga kma mara 8 , hata hakunakupokelewa , basi bana .
 
nakumbuka nili pigiwa , simu nkapokea , sasa kwny kuongea mimi ndo naongea , halo habari , haløo habari mara kama zote , sasa cha ajabu , hata sikupata response yoyote ghafla simu ikakata aftr 2 minutes , sasa dah , nkapga kma mara 8 , hata hakunakupokelewa , basi bana .
Relax wewe , usikute ulipigiwa na mtu mwingine kwenu huko. Tegemea simu kuanzia jtatu ya kesho, kwani walishamaliza kupanga majina na namba za simu za interviewees.
 
Relax wewe , usikute ulipigiwa na mtu mwingine kwenu huko. Tegemea simu kuanzia jtatu ya kesho, kwani walishamaliza kupanga majina na namba za simu za interviewees.
dah powa mkuu , mimi lengo ni kupata uzoefu tu wa interview hata kama nisipopata chansi ya ajira . Bali kusimama mbele ya watu ukijieleza kwa ufasaha , ila powa poa mkuu , asante kwa kunijuza na kunifariji .
 
dah powa mkuu , mimi lengo ni kupata uzoefu tu wa interview hata kama nisipopata chansi ya ajira . Bali kusimama mbele ya watu ukijieleza kwa ufasaha , ila powa poa mkuu , asante kwa kunijuza na kunifariji .
Pamoja man
 
bado hawajatoa mrejesho Mkuu ata mimi nimetuma maombi hapo,tukutane siku ya interview Mkuu nategemea ushirirkiano wako
leo tarehe 28-11-2019 wameanza kuita kwa kupigia simu watu usaili ni jumamosi ya wiki hii
 
Nawaza kwa sauti.
Mnakaa kule juu kwenye mv kazi mnapgwa maswali .
Haya waambie abiria wapande juu kuna nafasi..
Au mpendwa mteja kivuko kinachotoa huduma ni mv magogoni.....

Best wishes
bado hawajatoa mrejesho Mkuu ata mimi nimetuma maombi hapo,tukutane siku ya interview Mkuu nategemea ushirirkiano wako
 
..ngoja tuombe uzima tu wengine tupo hapa maili 1 kutoka ofisi za magogoni .
 
nakumbuka nili pigiwa , simu nkapokea , sasa kwny kuongea mimi ndo naongea , halo habari , haløo habari mara kama zote , sasa cha ajabu , hata sikupata response yoyote ghafla simu ikakata aftr 2 minutes , sasa dah , nkapga kma mara 8 , hata hakunakupokelewa , basi bana .
Mwanangu vip umepigiwa
 
Back
Top Bottom