Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
....Siku amwulize tu :
"Honey umepiga sarakasiya kusimamia mikono au....?"
Atamwelewa tu.
Hahha hahha umenifanya nicheke hadi basound:ound:
....Siku amwulize tu :
"Honey umepiga sarakasiya kusimamia mikono au....?"
Atamwelewa tu.
my dia! umewahi kutana na mwanamke mwenzio anayekufa na fashion ukaona aibu mwenyewe? sio lazima mtu akuambie au kila fashion inayotoka nawe uvae, nyingine zinatufanya vituko njiani jamani!hahahahha,miguu wengi hatuna ila tunavaa vimini,huyo mwanaume naye ana kasumba tu chaaa!
..Niliwahi kumwambia wangu kuwa kuna mtindo fulani wa utengenezaji wa nywele zake huwa haumpendezi hivyo nikamshauri aweke mtindo fulani hivi badala yake......Eh!! hapakukalika hapo mahali jamaa yangu....hawa viumbe sijui vipi bana!wanawake bwana, hawaeleweki kabisa, unaweza kuongea nae vizuri. very polite language, lakini ugomvi utakaotoka hapo ukawa ni balaa.
he!! si amwambie kuwa ukivaa hvyo hupendezi........hutoki chicha!!
..Niliwahi kumwambia wangu kuwa kuna mtindo fulani wa utengenezaji wa nywele zake huwa haumpendezi hivyo nikamshauri aweke mtindo fulani hivi badala yake......Eh!! hapakukalika hapo mahali jamaa yangu....hawa viumbe sijui vipi bana!
ha ha haa,sipat picha jamaa atakavyokula mkongoto maana mpaka hapa kaonyesha huwa anakula kipondo toka kwa mkewe.....Siku amwulize tu :
"Honey umepiga sarakasiya kusimamia mikono au....?"
Atamwelewa tu.
Mwambie wife anafanya kitu ambacho yuko confortable nacho..akisubiri miguu inenepe hiyo siku haitafika.
Lakini pia kama jamaa anaona ni myembamba sana si amwambie hata kiutani utani
Mwambie wife anafanya kitu ambacho yuko confortable nacho..akisubiri miguu inenepe hiyo siku haitafika.
Lakini pia kama jamaa anaona ni myembamba sana si amwambie hata kiutani utani
huyo mwanamme nae! mwenziwe anajiamini anavaa vile anavyopenda yeye inamuuma nini?
tell him to let the girl be Bwana ....................kwani huyo mkewe hajijui kama ana miguu membamba?! lakini mwenyewe ameridhika na anavaa mini vile vile. uzuri ni kujiamini tu asikuambie mtu.
ukiwa na miguu membamba utaambiwa 'wooooow u look like a model' hasa kwa nchi za nje, kwa hiyo shega tu.
wenye miguu minene mtajijuuuuuuuuuu
nyamayao mimi hata wanaume wengine siwaelewi kabisa...................atakuoa kisha atataka akubadilishe kiasi cha kuwa ukijitazama kioni sijue unamtizama nani!
sasa uliniolea nini?@@@@@
mimi kujibadili kwa mwanamme jamani bado akku!
lakini kiukweli.........let sm fashions pass you by, si lazima kila nguo na fashoni uvae bana!!!