Kiungo gani katika mwili kina (control) uzee?

Limbukeni

Senior Member
Feb 27, 2009
117
1
Uzee nikitu kisichoepukika , kinatokana na mchanganyiko wa shughuli nyingi katika mwili zenye uwiano wa moja kwa moja na umri. Moyo wa mwanandamu ndio kiungo kikuu kinachotoa maelekezo kwa mwili juu ya muonekano wake kwa nje. Uso wa mwanadamu kwa muonekano unatoa majibu mengi sana juu ya maswaiba au furaha binadamu aliyonayo. Ukiangalia watu wengi wenye misongo ya mawazo sura zao zinajieleza na wasio na misongo ya mawazo sura zao zinajieleza. Kila mtu anaweza kukumbwa na misongo ya mawazo ila inategemea akili yake inatatuaje hiyo misongo kabla haijaharibu maumbile ya mwili. Kufurahisha moyo na kuupa moyo amani kujizuia kupanic ni afya bora sana ya mwili. Wadau nisaidieni kuchangia hili. Asanteni
 
Soma pia vitabu vya dini iwe QUran au Biblia vinasaidia sana kuuchangamsha mwili. Soma huku ukitafakari unayoyasoma na kuyazingatia kwa matendo. Very good anti uzee dose.
 
Ukiangalia watu wengi wenye misongo ya mawazo sura zao zinajieleza na wasio na misongo ya mawazo sura zao zinajieleza. Kila mtu anaweza kukumbwa na misongo ya mawazo ila inategemea akili yake inatatuaje hiyo misongo kabla haijaharibu maumbile ya mwili. Kufurahisha moyo na kuupa moyo amani kujizuia kupanic ni afya bora sana ya mwili. Wadau nisaidieni kuchangia hili. Asanteni

Ulichesema ni kweli kabisa na hakina ubishi.Kwa kuongezea ni kwamba,ukiwa ni mtu mwenye kuwa na nia mbaya, mawazo mabaya, mtenda maovu, vyote hivi vyaweza kuchangia kuongeza makunyanzi kwenye uso wako.Hivyo basi watu tujiepushe na mawazo, maneno na matendo maovu kwa kadri tuwezavyo.
 
uzee nikitu kisichoepukika , kinatokana na mchanganyiko wa shughuli nyingi katika mwili zenye uwiano wa moja kwa moja na umri. Moyo wa mwanandamu ndio kiungo kikuu kinachotoa maelekezo kwa mwili juu ya muonekano wake kwa nje. Uso wa mwanadamu kwa muonekano unatoa majibu mengi sana juu ya maswaiba au furaha binadamu aliyonayo. Ukiangalia watu wengi wenye misongo ya mawazo sura zao zinajieleza na wasio na misongo ya mawazo sura zao zinajieleza. Kila mtu anaweza kukumbwa na misongo ya mawazo ila inategemea akili yake inatatuaje hiyo misongo kabla haijaharibu maumbile ya mwili. Kufurahisha moyo na kuupa moyo amani kujizuia kupanic ni afya bora sana ya mwili. Wadau nisaidieni kuchangia hili. Asanteni


thread yako ni nzuri na nitajaribu kupambanua katika mtazamo wa quran inasema nini kuhusu hili.

Na kwa upande mmoja unayosema ni kweli.
 
Uzee nikitu kisichoepukika , kinatokana na mchanganyiko wa shughuli nyingi katika mwili zenye uwiano wa moja kwa moja na umri. Moyo wa mwanandamu ndio kiungo kikuu kinachotoa maelekezo kwa mwili juu ya muonekano wake kwa nje. Uso wa mwanadamu kwa muonekano unatoa majibu mengi sana juu ya maswaiba au furaha binadamu aliyonayo. Ukiangalia watu wengi wenye misongo ya mawazo sura zao zinajieleza na wasio na misongo ya mawazo sura zao zinajieleza. Kila mtu anaweza kukumbwa na misongo ya mawazo ila inategemea akili yake inatatuaje hiyo misongo kabla haijaharibu maumbile ya mwili. Kufurahisha moyo na kuupa moyo amani kujizuia kupanic ni afya bora sana ya mwili. Wadau nisaidieni kuchangia hili. Asanteni

...ooh, nilidhani mtagusia pituitary glands, kumbe mnazungumzia ki -imani kuliko ki -sayansi. Haya, tuendelee...
 
Back
Top Bottom