kiumbe gani unayemuogopa zaidi hapa duniani?

kiumbe gani unayemuogopa zaidi hapa duniani?

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,218
wana jf. duniani kuna wanyama,ndege na wa dudu kati ya viumbe wote mimi nawamuogopa nyoka na tandu huwa nikiwaona na mwili husisimuka iwe live au kwenye midia.infact tumeumbwa tofauti na hofu . mnyama gani hatari kabisa unaye muogopa zaidi?.....
 
Dr. Slaa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi namwogopa Wassira kama ameshindwa kutatua mgogoro wa Geita na bado anatamani kuongoza nchi yenye migogoro kila kona huyo ni wa kuogopwa kuliko nyoka
 
Inasemekana kwamba ikiwa binadamu asingekuwa na miguu ya kutembelea kama ilivyo sasa badala yake akawa anatamba kama nyoka afanyavyo basi kiumbe ambacho kingeweza kutisha kuliko viumbe vyote duniani na pengine hata nyoka angemkimbia ni BINADAMU.
 
Viumbe wengine walikuwa hivyo yaani wabaya kwetu baada ya Adam na Eve kukubali dhambi.
Sisi binadamu ni wabaya sana maana hatukulaaniwa kuwa tupondane ila leo ukigeuka tu mtu yuko na wewe.
 
Back
Top Bottom