Kiukweli sipend ndugu nyumbani kwangu

Kiukweli sipend ndugu nyumbani kwangu

Babaticha

Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
26
Reaction score
1
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
 
Mi nilidhani ndugu wote wawe wako au wa mkeo. Kumbe wa mkeo tu! Sasa hao ndugu zako wakijazana hapo kwako utajivinjari vipi na huyo mkeo? Mi Nadhani una matatizo makubwa sana. Nenda kamuone msaikolojia akusaidie. Lakini jiulize na mkeo Alitoa msimamo Kama huo hiyo itakuwa nyumba ya namna gani?
 
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...

Tatizo lako ni ndugu wa mwanamke tu? wa kwako hauna tatizo nao? kama ndiyo basi ACHA TU KUOWA, HUO NDIYO USHAURI WANGU KUTOKA MOYONI!
 
Mi nilidhani ndugu wote wawe wako au wa mkeo. Kumbe wa mkeo tu! Sasa hao ndugu zako wakijazana hapo kwako utajivinjari vipi na huyo mkeo? Mi Nadhani una matatizo makubwa sana. Nenda kamuone msaikolojia akusaidie. Lakini jiulize na mkeo Alitoa msimamo Kama huo hiyo itakuwa nyumba ya namna gani?

Huyu dogo ana matatizo zaidi ya unavyofikiria, angalia kwenye post za nyuma, kwanza kasema ameoa lakini ana matatizo anaomba msaada anaaibika mbele za mkewe sababu alipiga sana pnyt utotoni, baadaye akasema yeye akioa hataki mkewe afanye kazi kamwe, leo anasema akiowa hataki ndugu wa mkewe nyumbani kwake!!!!!!!!!!:A S-confused1::A S-confused1:

Namshauri akavute bangi kwanza akili itulie, ajitambue!:help:
 
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...

Uchoyo unakusumbua wewe
 
mi napenda maana hii nyumba ni kubwa mno ( mansion) panaboa kukaa pekeyako.

wewe lazima usipende sababu unakaa chumba kimoja
 
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
Tatizo lako ni ndugu za mwanamke tu, je ndugu zako wewe huwaoni kero??? Huyo binti/mama/mwanamke utakayemuoa ana kazi!!
 
Ishi unashangaza kutoka moyoni, kero ya ndg? basi hata kuzaa msizae maana nao utaona kero
 
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...

Kama hupendi ndugu wa mke wako hata yeye huumpendi!!!
 
Duh bora uwe mwizi kuliko mchoyo na mbinafri kama wewe...khaa kuna watu mmeumbwa tofauti
 
Huyu dogo ana matatizo zaidi ya unavyofikiria, angalia kwenye post za nyuma, kwanza kasema ameoa lakini ana matatizo anaomba msaada anaaibika mbele za mkewe sababu alipiga sana pnyt utotoni, baadaye akasema yeye akioa hataki mkewe afanye kazi kamwe, leo anasema akiowa hataki ndugu wa mkewe nyumbani kwake!!!!!!!!!!:A S-confused1::A S-confused1:

Namshauri akavute bangi kwanza akili itulie, ajitambue!:help:

Itakua ana matatizo ya kiakili kutokana na punyeto alizokua anapiga.
 
huyu dogo ni mchoyoo na ubinafsi, kwanini abague ndugu wa upande mmoja, basi kama hutaki ndugu wawe wa upande zote. vipi kuhusu majirani? nao pia hutaki kuwaona nyumbani? washkaji nao vipi :frusty:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom