Kiukweli sipend ndugu nyumbani kwangu

Kiukweli sipend ndugu nyumbani kwangu

Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...

Useless thread, too childish.

Am out.
 
wewe hauko serious kabisa!

hamna cha kujivinjari na mkeo wala nini ni uchoyo na ubinafsi ndio unakusumbua.

kwanini usiwapige stop na hao ndugu zako??
 
Wewe utakua ni
Mchoyo
Mbinafsi
Una roho mbaya
Una roho ya korosho
Roho ya kwanini

Roho yako inakutoka ukiona ndugu wa mkeo wanakula
Ungekuwa na uwezo ungewanyima hata oksijen

Angalia usijekuwa mchawi huko mbeleni

Bye the way umeoa lini?
 
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...

unadhani huyo mkeo alishuka tu kutoka mbinguni?nani alimzaa,nani alimlea,nani alimsomesha nani alimshauri akawa na tabia njema hadi ukamuona anafaa kuwa mke?unapenda mteremko eh?
 
Sasa ndugu hupendi ndugu wa mkeo pia mind u if not them pengine huyo mkeo usingempata hujui ndo kalelewa na hao.
Si kulaumu ila hayo ni mapungufu sanana ni tatizo unalotakiwa kulifanyia kazi liishe maana itafika wakati hutataka kumuona hata huyo mkeo na huu ni ubinafsi na uchoyo haiwezekan ndugu zako uwapende wa mwenzio uwachukie je nawe unapenda nduzako wapendwe na mkeo.Piga goti uombe sana hiyo hali itoweke maana hiyo si hari ya kawaida ni mapepo hayo
 
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu, Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...

Owa dada yako hutosikia ndugu wa mke anakutembelea.
 
Wewe utakua ni Mchoyo MbinafsiUna roho mbayaUna roho ya koroshoRoho ya kwanini Roho yako inakutoka ukiona ndugu wa mkeo wanakula Ungekuwa na uwezo ungewanyima hata oksijenAngalia usijekuwa mchawi huko mbeleni Bye the way umeoa lini?

Mbona tayari anatunguli huyu! Ndugu wengine wa mkeo ni wanao, sasa sijuwi!
Ndo nyie mke akizaa tu unatafuta dogodogo. Unatelekeza mke na watoto kama Ndugai.
 
mbona baba yako hakuwakataa mama zako wadogo au wajomba zako? au hukuzaliwa na mwanamke? vijana wa siku hizi sijui ukaombewe, na wewe umekaa ukafikiria na kuamua kuandika haya, siyo bure ukahojiweeeeeeeeee
 
ukisikia gubu la mume ndio hili...kwa ushauri nenda kaoe mbwa au mbuzi wenyewe hawana ndugu wale mtakaa kwa amani kabisa
 
Nunua khanga kabisa imeandikwa: Ndugu sina nao habari, mi na mke wangu tu kujivinjari.
We jamaa bweg.e nazi kweli, what if mkeo naye akiwa hataki ndugu wako? Acha kufukuza baraka wewe au kama vipi ukitaka kuwaepuka nendeni mkaishi Guest, sio kuja kutuwekea bango hapa.
 
Ubinafs sasa huo,utatoesha amani ya ndoa yenyewe,dalili mbaya hyo
 
Back
Top Bottom