jackson mushi
Member
- Oct 12, 2013
- 15
- 1
Nadhan wewe ni mchoyo sana ndo maana utaki ndugu
8Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
Binadamu wote wana ndugu zao isipokuwa wanyama. Sasa we mwenzetu kama hutaki ndugu chagua moja kati ya mawili hapo juu unalo ona hutapata bugdha.Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
Jamani haya yanatoka
Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona
ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na
Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
Ujana maji ya moto.
Lakini kunaTaarifa njema, nayo ni kwamba siku moja maji hayo yatapoa tu!
Hao ndugu wa mke kuna siku utawatafuta wakuanike kwenye jua, na jioni wakurudishe ndani kwenye kigodoro chako.
Jamani haya yanatoka Moyoni hadi nimefikia hatua nataka kuoa,Lakini sipend tena sipend kuona ndugu wa Mwanamke kwangu uwa nakereka mana nahtaj nafasi nivinjari na Mke wangu,
Jamani sipend na siwatak ndugu wa Mke wangu kwangu...
ulipokuwa unakaa kwa shemeji yako mme wa dada yako ,angekuwa na msimamo kama wa kwako wewe ungekuwaje
Ulinkonyofu ugwe
Huyu dogo ana matatizo zaidi ya unavyofikiria, angalia kwenye post za nyuma, kwanza kasema ameoa lakini ana matatizo anaomba msaada anaaibika mbele za mkewe sababu alipiga sana pnyt utotoni, baadaye akasema yeye akioa hataki mkewe afanye kazi kamwe, leo anasema akiowa hataki ndugu wa mkewe nyumbani kwake!!!!!!!!!!:A S-confused1::A S-confused1:
Namshauri akavute bangi kwanza akili itulie, ajitambue!:help: