Kiukweli mnashangaza

Kiukweli mnashangaza

Nayer6

Member
Joined
Jan 28, 2018
Posts
78
Reaction score
94
Eti unakuta mwanaume anakuja na kuanza mahusiano kwa kukuuliza, "eti dada unaboyfrnd?" Hivi wanaume hamjui kudeal na akili za wanawake inabidii uende unda urafiki show that you care ntoe outing, spoil the lady to the extreme alafu utaona yeye mwenyewe ndo atajiongeza na kutambua kama alikuwa na boyfrnd au laah. Usipoelewa utaelewa kesho jumapili njema wakuu
 
Eti unakuta mwanaume anakuja na kuanza mahusiano kwa kukuuliza, "eti dada unaboyfrnd?" Hivi wanaume hamjui kudeal na akili za wanawake inabidii uende unda urafiki show that you care ntoe outing, spoil the lady to the extreme alafu utaona yeye mwenyewe ndo atajiongeza na kutambua kama alikuwa na boyfrnd au laah. Usipoelewa utaelewa kesho jumapili njema wakuu
Hii mbinu unayowapa wanaume waitumie kwa wanawake ni outdated pia

Muda unaotumia kuunda huo the so called urafiki,sijui kumspoil kuna mjanja anajilia kiulaini kabisa
Labda kimsingi kama mwanaume anamtaka mwanamke aende direct katika point yake ya kupenda,hayo ya una boyfriend atajua mwenyewe
 
Hii mbinu unayowapa wanaume waitumie kwa wanawake ni outdated pia

Muda unaotumia kuunda huo the so called urafiki,sijui kumspoil kuna mjanja anajilia kiulaini kabisa
Labda kimsingi kama mwanaume anamtaka mwanamke aende direct katika point yake ya kupenda,hayo ya una boyfriend atajua mwenyewe
Siku izi hamna kitu kupenda asikuwambie mtu yaan uko sawa sababu unaweza kumnunulia sijui nin umpagawishe then at the end anakuwambia hana Mme sio boyfriend tena..haha.
 
Siku izi hamna kitu kupenda asikuwambie mtu yaan uko sawa sababu unaweza kumnunulia sijui nin umpagawishe then at the end anakuwambia hana Mme sio boyfriend tena..haha.
Kupenda kupo ila kama umependa haina haja ya kuzunguka
 
Siku izi hamna kitu kupenda asikuwambie mtu yaan uko sawa sababu unaweza kumnunulia sijui nin umpagawishe then at the end anakuwambia hana Mme sio boyfriend tena..haha.
bora"" akwambie hivyo ""itakuwa nafuu""hapo ndio kwanza"" ataanza "kuwa hadithia" wenzake kuwa amepata" danga "linajipendekeza "" so ameona amchune tu""
 
Hahaha
Unataka kuwa nao wawili eeeh!! Lakini watoto ndo huuliza bhana mbona mie Aspirin hakuniulizaaa, dili na wahenga mkuu
hivi huyuu Asprin anawake wangapi humu khaa. yani kila sehemu napotaka kuteka colon naskia kuna @Aspirin aaargh tutapambana hivo hivo ila cha muhimu na kikubwa ni kuwa highest shareholder basi
 
Kwanza amekuheshimu na amejiheshimu na mtu wa hivyo ni mstaarabu. Hapendi kuingilia mahusiano ya watu na anauliza ili ajue anaingia kwa gear gani.

Na ni mjanja pia.

Nani awekeze sehemu ambayo kuna mtu tayari?

Its not that complicated bila hiyo sasa tutaonekana wanawake wote tunatembea na placards za 'OMBA OMBA'.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom