Kiukweli dunia ni ya wachache

Kiukweli dunia ni ya wachache

Hili swala la umaskini wa ukoo huwa linanikatisha sana tamaa ya kupambana coz wanamaanisha hata tupambane vp atuwez kutoboa et sababu koo zetu ni maskini huwa nachukia sana hii kitu
Usife moyo... Ukoo unaanzisha wewe/mimi .. kwa hiyo ninapaswa kuanza vyema
 
Hapo kwenye kuwajengea ndio kosa la umasikini wako lilipoanzia. Yaan fedha ambayo ilikuwa msingi wako Sasa wewe unauridisha nyuma. Jaman wazazi hebu pigeni kaatua kidogo ili watoto nao waje wapate urahisi wa Maisha. Umasikini mwingine unasababishwa na wazazi kwa kiasi kikubwa. Miaka 50,60 kweli hata kama ulikuwa unanunua tofali moja kila wiki c mtu ingekuwa hata na vivyumba viwili vizuri vya kulala na badae hata watoto wanakuja kufanya upanuzi. Najua wengi watasema Maisha ya wazee yalikuwa magumu, sio utani wengi wanapata lakini pombe kwa wingi.
Tatizo jamii zetu watu wanazaa watoto wengi ili waje watunzwe

Matokeo yake kuwagharamia hao viumbe hawawezi ndio tunakuja kuishia huku
 
kaka samahani ndugu yako nimekwama kwenye vibarua vya 7000 kwa siku nisaidie hapa mkuu .
wewe sijui unafeli wapi ila sikia ziko mishe nyingi tu kwa siku unalaza 10k-15k kama siku gemu zuri unalaza 25k-30k sijui uko kwenye mkaa sijui kilimo umefata nini
 
Uliyoandika yamekutokea kweli?
Haya ni masahibu wanayokutana nayo vijana wengi wa Tz.
Mifumo ya uchumi na maendeleo ya Nchi hii siyo rafiki sana kwa shughuli za uchumi na maendeleo. Kwa mfano, kijana analima na kupata mtaji wa biashara (e.g. milioni mbili), anaanzisha biashara ya duka, TRA wanaingia na kumkadiria kodi ya laki nne wakati hiyo ndiyo faida ya biashara yake, achilia mbali kodi ya kibanda, ushuru wa soko, nauli ya bidhaa, luku, simu, n.k. Ni majanga. Ndiyo maana vijana wengi wanakimbilia kuajiriwa japo kwa salary ya 250,000/= kwa mwezi. Watafanyaje sasa.
 
Haya ni masahibu wanayokutana nayo vijana wengi wa Tz.
Mifumo ya uchumi na maendeleo ya Nchi hii siyo rafiki sana kwa shughuli za uchumi na maendeleo. Kwa mfano, kijana analima na kupata mtaji wa biashara (e.g. milioni mbili), anaanzisha biashara ya duka, TRA wanaingia na kumkadiria kodi ya laki nne wakati hiyo ndiyo faida ya biashara yake, achilia mbali kodi ya kibanda, ushuru wa soko, nauli ya bidhaa, luku, simu, n.k. Ni majanga. Ndiyo maana vijana wengi wanakimbilia kuajiriwa japo kwa salary ya 250,000/= kwa mwezi. Watafanyaje sasa.
Nimeutumikia mshahara huo kwa miaka 6 sasa.. ukiwa nao kijijini si shda sana ila city center changamoto...
 
Daaa... It is bad moment never passed through
 
Ruvuma, mbinga
Samahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupi
 
Samahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupi
Kuku sijajaribu... Ila nna ng'ombe wawil ( ndama) na nguruwe 3 wadogo..
Kuhama mkoa shda ni kianzio na kujua perfect destiny..
 
Sijawa mvivu.. napambana, but milango haifunguki...
 
Hiyo namba 3 nimecheka sana..Bila shaka unatania huu uzi inaweza ikawa changamsha genge tuu
 
Samahani kwakusema ivi labda nitakukwaza ila umejaribu kuhama mkoa?mara nyingi mkoa uliozaliwa na kukulia ningumu kutoboa,Je unakoishi unaweza kufuga maana ufugaji Hawa wakuku broila unalipa sana kwamuda mfupi
Kaka tusaidie wengine namna tutakavyoweza kufuga hao kuku
 
Ni kubwa kaka.. ni ya wazazi (wa kiume) waliowekeza ulevi.. nilipambana kwa pesa ya kujikimu (boom) nikawajengea pa kuishi angalau pasipovuja... Nikajisahau mwenyewe.... Nikapambana kuwabadili wawe wachapa kaz za shamba,, angalau kwa sasa wanajiinua kidogo... ni wakulima wa kahawa..mfumo wa mauzo pia kikwazo kwa mwenye kipato kidogo.. hali tete..ila sijawa mvivu,,, nikasaka ajira private schools.. mwaka jana nikapata ajali pindi tunaenda kusimamia mitihani darasa la 7...kila njia ikajifunga kuanzia hapo
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom