Kiukweli dunia ni ya wachache

Kiukweli dunia ni ya wachache

1.Napambana na sifanikiwi
Ila kuna wachache hata hawatoi jasho wanakula na wanasaza
2. Nkaona huenda shda ni elimu, nikasoma bado si msaada....mwaka wa 9 sasa mtaani, wenye ramani wanahitimu leo kesho wapo kwenye mfumo
3.Nikashika jembe,, piga mpini haswa mpaka viganja vinafanana na unyayo... Still ardhi sio yangu...
4. Nikaamua weka vyeti kabatini, ingia msituni nkachoma mkaa,, Maliasili wakanikalia koo na kunichomoa tonge lililo kooni tayar ..mzigo ukawa mali yao na faini nkalipa...

Naelewa sasa chimboko la BOKOHARAM, ISIS, ALSHABAAB, ... NI NJAA..
World has become a 'champagne glass' , globalization will fill it fuller for wealthy few.
 
Level ya umaskin wa ukoo wenu ni ipi ebu nipe picha
Ni kubwa kaka.. ni ya wazazi (wa kiume) waliowekeza ulevi.. nilipambana kwa pesa ya kujikimu (boom) nikawajengea pa kuishi angalau pasipovuja... Nikajisahau mwenyewe.... Nikapambana kuwabadili wawe wachapa kaz za shamba,, angalau kwa sasa wanajiinua kidogo... ni wakulima wa kahawa..mfumo wa mauzo pia kikwazo kwa mwenye kipato kidogo.. hali tete..ila sijawa mvivu,,, nikasaka ajira private schools.. mwaka jana nikapata ajali pindi tunaenda kusimamia mitihani darasa la 7...kila njia ikajifunga kuanzia hapo
 
1. Maisha yanahitaji utulivu, Subira, kisha uzoefu.
2. Kama hujayazoea Maisha tafsiri yake Maisha nayo hayajakuzoea.
"Practice makes perfect"
Ukirukia rukia matawi kamwe Maisha hayatakuzoea na hautakuwa na uzoefu.

3. Hata Huko Alshababy sijui Boko Haramu kuna hitaji mambo yaleyale, utulivu, subira kisha uzoefu.
 
1. Maisha yanahitaji utulivu, Subira, kisha uzoefu.
2. Kama hujayazoea Maisha tafsiri yake Maisha nayo hayajakuzoea.
"Practice makes perfect"
Ukirukia rukia matawi kamwe Maisha hayatakuzoea na hautakuwa na uzoefu.

3. Hata Huko Alshababy sijui Boko Haramu kuna hitaji mambo yaleyale, utulivu, subira kisha uzoefu.
Thanks
 
1.Napambana na sifanikiwi
Ila kuna wachache hata hawatoi jasho wanakula na wanasaza
2. Nkaona huenda shda ni elimu, nikasoma bado si msaada....mwaka wa 9 sasa mtaani, wenye ramani wanahitimu leo kesho wapo kwenye mfumo
3.Nikashika jembe,, piga mpini haswa mpaka viganja vinafanana na unyayo... Still ardhi sio yangu...
4. Nikaamua weka vyeti kabatini, ingia msituni nkachoma mkaa,, Maliasili wakanikalia koo na kunichomoa tonge lililo kooni tayar ..mzigo ukawa mali yao na faini nkalipa...

Naelewa sasa chimboko la BOKOHARAM, ISIS, ALSHABAAB, ... NI NJAA..
Kila kutu unachokiona dunia hii ni siri! Na ukiiijua siri hakika wewe utakuwa ni mmoja wa hao unaowasema hawatumi akili wala nguvu nyingi lakini mambo yanawaendea sawa.
 
Kila kutu unachokiona dunia hii ni siri! Na ukiiijua siri hakika wewe utakuwa ni mmoja wa hao unaowasema hawatumi akili wala nguvu nyingi lakini mambo yanawaendea sawa.
Niite kaka nipe misingi nami nizijue hizo siri.. swear to be honest..
 
Hayupo.. ..
Level ya umaskin wa ukoo wenu ni ipi ebu nipe picha
Ni kubwa kaka.. ni ya wazazi (wa kiume) waliowekeza ulevi.. nilipambana kwa pesa ya kujikimu (boom) nikawajengea pa kuishi angalau pasipovuja... Nikajisahau mwenyewe.... Nikapambana kuwabadili wawe wachapa kaz za shamba,, angalau kwa sasa wanajiinua kidogo... ni wakulima wa kahawa..mfumo wa mauzo pia kikwazo kwa mwenye kipato kidogo.. hali tete..ila sijawa mvivu,,, nikasaka ajira private schools.. mwaka jana nikapata ajali pindi tunaenda kusimamia mitihani darasa la 7...kila njia ikajifunga kuanzia hapo
Kuna shida pahali huo umaskini sio wako ni wa ukoo wako, maadam ukiona unatoa bila kupokea jua kuna pahala pana shida, Haezekan ukoo wa watu 30+ wote maskini level ya chini haezekani
 
Level ya umaskin wa ukoo wenu ni ipi ebu nipe picha

Kuna shida pahali huo umaskini sio wako ni wa ukoo wako, maadam ukiona unatoa bila kupokea jua kuna pahala pana shida, Haezekan ukoo wa watu 30+ wote maskini level ya chini haezekani
That is fact..napambana nitoke kwenye hilo box...
 
Back
Top Bottom