Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 3,167
- 5,642
Mkuu tuko wote,.Zipo nyingi, hayo maswali nilio muuliza n majibu yake mbaya zaidi yeye ni mlango yani firstborn, ngoja niendenae taratibu
Mkuu tuko wote,.Zipo nyingi, hayo maswali nilio muuliza n majibu yake mbaya zaidi yeye ni mlango yani firstborn, ngoja niendenae taratibu
BRILLIANT!Kila kutu unachokiona dunia hii ni siri! Na ukiiijua siri hakika wewe utakuwa ni mmoja wa hao unaowasema hawatumi akili wala nguvu nyingi lakini mambo yanawaendea sawa.
Connection sina kaka,, huenda nkaipata kupitia weweUlishaambiwa kila kitu ni connection, unayo? Kama Ni mlala hoi utabaki na uhoi wako!
Huhitaji mtu wala kitu kukuweka pale unapopataka kuwa...Connection sina kaka,, huenda nkaipata kupitia wewe
Thank you ..Huhitaji mtu wala kitu kukuweka pale unapopataka kuwa...
Mabadiliko ya kweli yanaanza na wewe....
ushawahi kusikia mambo ya ushirikina ndani ya ukoo wenu au mambo kuhusu mizimu au urithi wa mambo ya giza?Amekufa 2018.. akiwa chini ya uangalizi wangu
Hayo kiukweli yanasimuliwa tu...cjayashuhudia katka umri wanguushawahi kusikia mambo ya ushirikina ndani ya ukoo wenu au mambo kuhusu mizimu au urithi wa mambo ya giza?
SawaHilo neno "connection" Ni kulingana na mchungaji wa ufufuko na uzima, ukimuona atakuelewesha.
Ni mwanasiasa sasa..je bado upako atakuwanao!!? ( Utani) Maana huenda anaramba asali bungeniHilo neno "connection" Ni kulingana na mchungaji wa ufufuko na uzima, ukimuona atakuelewesha.
kutokuyasikia ww sio sababu yasitokee, Rudi kwenu Jua ilikuwaje kwa maana ukijua shida ndo utajua jinsi ya kuomba usije ukaomba kilokole tu.Hayo kiukweli yanasimuliwa tu...cjayashuhudia katka umri wangu
33kutokuyasikia ww sio sababu yasitokee, Rudi kwenu Jua ilikuwaje kwa maana ukijua shida ndo utajua jinsi ya kuomba usije ukaomba kilokole tu...
Mrudie Mungu, alafu pengine ulishafanikiwa sema pesa za kwako anazo mwingine Rudi kwa Yesu pande ni mbili tu hasi na changa baridi au moto.
Huenda kaka..Mrudie Mungu, alafu pengine ulishafanikiwa sema pesa za kwako anazo mwingine Rudi kwa Yesu pande ni mbili tu hasi na changa baridi au moto.
ThanksMrudie Mungu, alafu pengine ulishafanikiwa sema pesa za kwako anazo mwingine Rudi kwa Yesu pande ni mbili tu hasi na changa baridi au moto.
njoo bongoMji upi kaka,,