Kiukweli dunia ni ya wachache

Kiukweli dunia ni ya wachache

Unfair distribution of resources chanzo chake ni ubinafsi wa watu wachache wanakula na watoto wao tu.
Nimelazimika kuijibu hii coment yako.
Our world has abundant resources, so no one can glab and hide them all. Kuna maeneo mengi sana hao wabinafsi hawajafika.
Wanachoiba hapa TZ labda 1/100.
Nikweli hatufanikiwi, hatupaswi kuwalaumu wengine bali kuangalia mbadala.
Wezi Africa hawataisha, hili ni lango la wezi tangu karne nyingi ila hawajawahi kuzimaliza resources zote hapa Africa.
Sisi tunakosa elimu yenye maarifa hivyo tuopiganie hio.
Mfano kilimo anachokifanya kinaweza kisiwe chenye maarifa.
 
1. Napambana na sifanikiwi
Ila kuna wachache hata hawatoi jasho wanakula na wanasaza.

2. Nkaona huenda shda ni elimu, nikasoma bado si msaada....mwaka wa 9 sasa mtaani, wenye ramani wanahitimu leo kesho wapo kwenye mfumo.

3.Nikashika jembe, piga mpini haswa mpaka viganja vinafanana na unyayo. Still ardhi sio yangu.

4. Nikaamua weka vyeti kabatini, ingia msituni nkachoma mkaa,, Maliasili wakanikalia koo na kunichomoa tonge lililo kooni tayar ..mzigo ukawa mali yao na faini nkalipa.

Naelewa sasa chimboko la BOKOHARAM, ISIS, ALSHABAAB, NI NJAA..
Inabidi ubadili mtazamo na uhalisia wako ili uwe kati ya hao wachache mkuu.
Vitu vingi tulivyoviamini kama shule imegeuka utapeli siku hizi.
 
Nimelazimika kuijibu hii coment yako.
Our world has abundant resources, so no one can glab and hide them all. Kuna maeneo mengi sana hao wabinafsi hawajafika.
Wanachoiba hapa TZ labda 1/100.
Nikweli hatufanikiwi, hatupaswi kuwalaumu wengine bali kuangalia mbadala.
Wezi Africa hawataisha, hili ni lango la wezi tangu karne nyingi ila hawajawahi kuzimaliza resources zote hapa Africa.
Sisi tunakosa elimu yenye maarifa hivyo tuopiganie hio.
Mfano kilimo anachokifanya kinaweza kisiwe chenye maarifa.
Vigogo wanakula na watoto wao. Au na wewe ni mtoto wa kigogo ndio maana unawatetea??
 
Vigogo wanakula na watoto wao. Au na wewe ni mtoto wa kigogo ndio maana unawatetea??
Kachukue basi wanachokula. Ukilalamika humu utazuia nini zaidi ya kujifariji.
Hata wewe unaweza kuwa kigogo.
Ni muflisi kuamini riziki yako inazuiwa na binadamu mwingine.
Vitabu vimetuasa amtegemea binadamu amelaniwa.
Hao unaowaona ni vigogo nao wanamatatizo yao kibao.
Vuka hatua ya kulaumu wengine nenda kwenye hatua ya self esteem. Jiangalia wewe kama wewe nafasi yako na nature.
How nature support you sio mtu fulani ambaye naye anategemea nature.
 
Hauwezi pambana hivyo ukiweka na ubahili ukaacha kutoboa , labda tatzo lako lilikua ni chupi mkuu.
 
Usiwaze kamanda, kuna wako kwenye system Wana Hali mbaya kiuchumi nafuu wewe.Lima+ Biashara maisha yasonge!
 
Back
Top Bottom