Kiukweli dunia ni ya wachache

NUHWAHI

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
303
463
1. Napambana na sifanikiwi
Ila kuna wachache hata hawatoi jasho wanakula na wanasaza.

2. Nkaona huenda shda ni elimu, nikasoma bado si msaada....mwaka wa 9 sasa mtaani, wenye ramani wanahitimu leo kesho wapo kwenye mfumo.

3.Nikashika jembe, piga mpini haswa mpaka viganja vinafanana na unyayo. Still ardhi sio yangu.

4. Nikaamua weka vyeti kabatini, ingia msituni nkachoma mkaa,, Maliasili wakanikalia koo na kunichomoa tonge lililo kooni tayar ..mzigo ukawa mali yao na faini nkalipa.

Naelewa sasa chimboko la BOKOHARAM, ISIS, ALSHABAAB, NI NJAA..
 
Back
Top Bottom