Nsaji Mpoki
JF-Expert Member
- Nov 5, 2007
- 396
- 65
Taarifa nilizopata kutoka Kyela zinaeleza kuwa vurugu kubwa zimetokea jana na kusababisha kifo cha mtu mmoja aliyepigwa risasi na POLISI. Hasara kubwa kwa mali za Umma na Watu binafsi ikiwemo mahakama ya mwanzo na kituo cha POLISI kimechomwa moto na kuteketea.Taarifa kamili ya chanzo cha vurugu hizo nitawaletea baadaye.