Banzi
Member
- May 25, 2011
- 30
- 9
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
Mohammed: Hebu fafanua vizuri mkuu, nani hao na kwa maslahi na faida ya nani kufanya hivyo.
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
Haa haa haa, Aise sina mbavu, kweli Tz imebadilika, nikiangalia hii picha jamaaa alivyoshika panga, ninajiuliza matokeo yake nini? Sasa serikali na polisi wafikirie hali hii ikitokea Tz nzima polisi watafanya nini kwa hawa raia.Taarifa zilizotufikia punde zinasema kuwa wananchi wenye hasira wakiwa na silaha za jadi, wamevamia kituo cha polisi mjini Mugumu wakishinikiza kuwahukumu watuhumiwa wa mauaji!kweli hawa makurya hawana imani na polisi. Mh Vuai ameligusia hili kupitia taarifa ya habari ya ITV. Je wananchi kujichukulia sheria mikononi ni matokeo ya wananchi kutokuwa na imani na CCM
Source: Mdau -Mugumu
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
wanasihasa ndo nini?attation ndo nini? hivi si muwe mnaandikia tu kiswahili?? shukle za kata hizi zimeleta mambo sana khaaaa..halafu manalaumu oooh mitihani ya NECTA migumu mtafaulu vipi kama hiki ndo kiingereza chenu...
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
Basi kuna wanasihasa fulani watanunua hiyo kesi wanapenda kweli kuseek attation kwa gharama yoyote kaaazi kweli kweli
Polisi tena ??? JK asipoangalia nchi itamporomokea mikononi mwake.
wanasihasa ndo nini?attation ndo nini? hivi si muwe mnaandikia tu kiswahili?? shukle za kata hizi zimeleta mambo sana khaaaa..halafu manalaumu oooh mitihani ya NECTA migumu mtafaulu vipi kama hiki ndo kiingereza chenu...
Duuuh Mrembo hiyo "attation" ndo nini???