GE2025 Kituo cha Polisi cha Mabatini Sinza chachomwa moto, risasi zarindima

GE2025 Kituo cha Polisi cha Mabatini Sinza chachomwa moto, risasi zarindima

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
304
Reaction score
543
KInachoendelea huko Mabatini Sinza, kituo cha polisi kimetiwa moto, polisi nao wapigana kujaribu kuwadhibiti wananchi lakini wanazidiwa nguvu.

Kwa upande mqingine wanajeshi wameanza kuungana na wananchi. Mambo yakiendelea vizuri siku itaisha nchi ikiwa mikononi mwetu.
 
RIsasi wamepuga juu, kulinda vibarua vyao. Maana wataulizwa ilikuwaje watasema tulipuga risasi juu kuwatawanya lakini waliendelea kuja tukakimbia.

Usihofu tutafika Mbweni, mikocheni, masaki na oysterbay napema tu.
 
Back
Top Bottom