GE2025 Kituo cha Mwendokasi cha Magomeni chachomwa moto

GE2025 Kituo cha Mwendokasi cha Magomeni chachomwa moto

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Black Opal

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2023
Posts
304
Reaction score
545
Maandamano yanazidi kupamba moto, unaambiwa ile ya asubuhi ilikuwa cha mtoto, watu wananchi wameongezeka maradufu wakati huu wakizidi kusonga mbele.

Kituo cha mwendokasi Magomeni nacho kimeliwa kichwa, kimetiwa kiberiti na raia wanasonga.

Madai ni yale yale, tunataka haki irejee nchini, sio amani wakati wenzetu wanatekwa kila kukicha, sio amani wakati wenzetu wanauliwa kila kukicha sio amani wakati majority tunapulia kwenye mashine.

 
Ila ujinga na mihemuko 🚮🚮🚮

Badala ya kutarget ofisi za CCM na miundombinu yake, mnaenda kuchoma vituo vya mabasi vya umma ambavyo baada ya maandamano nyie wenyewe wananchi mtateseka kukosa usafiri 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️ na mtatoa pesa zenu za kodi kuvijenga upya.
 
Ila ujinga na mihemuko 🚮🚮🚮

Badala ya kutarget ofisi za CCM na miundombinu yake, mnaenda kuchoma vituo vya mabasi ambavyo baada ya maandamano nyie wenyewe wananchi mtateseka kukosa usafiri 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️ na mtatoa pesa zenu za kodi kuvijenga upya.
Kwa nini wewe usiende ku target hizo ofisi za CCM?

Bora Ungebaki kuandika nyuzi za pornography tu
 
Maandamano yanazidi kupamba moto, unaambiwa ile ya asubuhi ilikuwa cha mtoto, watu wananchi wameongezeka maradufu wakati huu wakizidi kusonga mbele.

Kituo cha mwendokasi Magomeni nacho kimeliwa kichwa, kimetiwa kiberiti na raia wanasonga.

Madai ni yale yale, tunataka haki irejee nchini, sio amani wakati wenzetu wanatekwa kila kukicha, sio amani wakati wenzetu wanauliwa kila kukicha sio amani wakati majority tunapulia kwenye mashine.

View attachment 3495888
Chonde chonde tusiharibu mali ambazo ni zetu sisi wenyewe. Tushughulike na mali za watesi wetu na za chawa wao!
 
Huu ni mwanzo tuu,wengi watahamasika zaidi siku zijazo kama mabadiliko hayatatokea, kizuri zaidi mamilioni ya watu hawatapiga kura , na chawa wamepata message sasa wataanza kujua tunaishi nao na hawana ulinzi kama Samia na genge lake, watu wamechoka umaskini, kutekwa, kuuliwa na chaguzi fake, hii ni project ya muda mrefu mpaka mabadiliko ya kweli yatokee
 
Ila ujinga na mihemuko 🚮🚮🚮

Badala ya kutarget ofisi za CCM na miundombinu yake, mnaenda kuchoma vituo vya mabasi ambavyo baada ya maandamano nyie wenyewe wananchi mtateseka kukosa usafiri 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️ na mtatoa pesa zenu za kodi kuvijenga upya.
Unakosoa na huko ndani umelala.
Toka njoo uwaambie huku. 😆😆
 
Toka angalau upate cha kuwasimulia wajukuu zako jinsi siku moja wanyonge walivyoamua kuvua unyonge wao!
Hapana sitoki, ila kama kuuvua unyonge ni kuharibu mali za umma, basi nitakuja kuwasimulia wajukuu zangu jinsi wanyonge walivyokua wajinga na ndiyo maana wanatawaliwa na wajinga wenzao na wadhalimu.
 
Hapana sitoki, ila kama kuuvua unyonge ni kuharibu mali za umma, basi nitakuja kuwasimulia wajukuu zangu jinsi wanyonge walivyokua wajinga na ndiyo maana wanatawaliwa na wajinga wenzao na wadhalimu.
Hapana, mwelekeo wa kuharibu mali za umma utasahihishwa. Hizo ni mali zetu wenyewe. Tunalia na mali za watesi wetu na za chawa wao!
 
Hapana sitoki, ila kama kuuvua unyonge ni kuharibu mali za umma, basi nitakuja kuwasimulia wajukuu zangu jinsi wanyonge walivyokua wajinga na ndiyo maana wanatawaliwa na wajinga wenzao na wadhalimu.
Price ya kupigana na umaskini, kutekwa na kuuliwa ni kubwa kuliko hizo mali, tutarekebisha mbele ya safari
 
Back
Top Bottom