Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

ushoga hauchagui cha msikiti, temple wala kanisa labda kama huna akili kutafiti mambo

Sisi mpaka sasa tunaona Ndoa hizi MAKANISANI tu. Tena Dunia NZIMA.

Sasa labda ungetuonyesha kwengine manake hata WAHINDI na Buddhist Ndoa hizi HAKUNA.
 
ushoga hauchagui cha msikiti, temple wala kanisa labda kama huna akili kutafiti mambo

Middle east ndio unaongoza uzuri ni kuwa hautangazwi kama ilivyo ulaya. NI sawa na hapa Tanzania ukiangalia pwani ndio unaongoza, lakini hata siku moja hautangazwi. Angalia kutoka Lamu hado Maputo utaona kuwa watu wa eneo hilo ndio utamuduni wao.
 
Middle east ndio unaongoza uzuri ni kuwa hautangazwi kama ilivyo ulaya. NI sawa na hapa Tanzania ukiangalia pwani ndio unaongoza, lakini hata siku moja hautangazwi. Angalia kutoka Lamu hado Maputo utaona kuwa watu wa eneo hilo ndio utamuduni wao.

Mwenye kuweza kujua habari za siri lzm awe mmoja wa WASHIRIKI wa habari hizo au victim wa habari hizo.

Pole sana mkuu, lkn unaweza kuacha pia habari hizi. Ni uchafu mbaya mno.
Na km bahati mbaya ulipitiwa na jamaa kavaa kanzu basi siku hizi wagalatia kibaao wanavaa kanzu mkuu.
We tembelea pale Mbagala kwenye ile Baa. Utaona kina Joseph na John kibao wamevaa kanzu wanateremsha Mbuzi katoliki km kawaida.

We ukiona mtu kavaa mavazi ya Kiislamu lkn ana sura mbovu basi ujue huyo SIO MUISLAMU
 
ushoga hauchagui cha msikiti, temple wala kanisa labda kama huna akili kutafiti mambo
Unachaguwa bana Msikitini hauwezi kuona watu wanafunga ndoa za mashoga hata siku moja laki Makanisani wanafungisha hizo ndoa.
 
mwenye kuweza kujua habari za siri lzm awe mmoja wa washiriki wa habari hizo au victim wa habari hizo.

Pole sana mkuu, lkn unaweza kuacha pia habari hizi. Ni uchafu mbaya mno.
Na km bahati mbaya ulipitiwa na jamaa kavaa kanzu basi siku hizi wagalatia kibaao wanavaa kanzu mkuu.
We tembelea pale mbagala kwenye ile baa. Utaona kina joseph na john kibao wamevaa kanzu wanateremsha mbuzi katoliki km kawaida.

We ukiona mtu kavaa mavazi ya kiislamu lkn ana sura mbovu basi ujue huyo sio muislamu

kujitetea mnaweza ila dini yenu ndo mbovu kabisa hata haifai kuwepo. Dini gani inayohubiri kuua wengine kwa madai ya kupata amani peponi.
Alshabab,boko haram, islamic state
 
Mwenye kuweza kujua habari za siri lzm awe mmoja wa WASHIRIKI wa habari hizo au victim wa habari hizo.

Pole sana mkuu, lkn unaweza kuacha pia habari hizi. Ni uchafu mbaya mno.
Na km bahati mbaya ulipitiwa na jamaa kavaa kanzu basi siku hizi wagalatia kibaao wanavaa kanzu mkuu.
We tembelea pale Mbagala kwenye ile Baa. Utaona kina Joseph na John kibao wamevaa kanzu wanateremsha Mbuzi katoliki km kawaida.

We ukiona mtu kavaa mavazi ya Kiislamu lkn ana sura mbovu basi ujue huyo SIO MUISLAMU

Mkuu umenifurahisha sana kwenye comment hii...hii issue haina dini wala mavazi. Ni aina tu ya utamaduni, uwe mkristo, pagani au mwislamu ukiwa mpwani ni mpwani tu. Mbagala, Lamu, Maputo, etc etc
 
Huyo waziri mkuu, hakua na mke(jinsia ya kike) kabla ya kuoana na mwanaume mwenzake?
 
Jamani wala tusishangae sana, hizi dini ambazo tumeziamini na kuzishikilia zimeletwa na wao, sisi tukawa watekelezaji tu. Huyu shetani ni wao, hayo matendo tuliyoambiwa ni mabaya ni wao walituaminisha hivyo. Sasa leo ukienda huko Ulaya hakuna mtu anakwenda kusali, makanisa mengi yamekua makumbusho, wao wanaendekeza hayo mambo ya kishetani ambayo walitukataza ndio wanayafuata na kuyaabudu kweli kweli. Niseme tu ukweli nchi ambazo bado zinamjali na kuamini Mungu yupo ni Africa peke yake. hao waliotuletea dini kwa kweli no one cares. Bora hata hao wachina ambao toka wameujua ulimwengu wao hawajua kanisa wala msikiti. Sasa na sisi tujiandae it is the matter of time, hawa hawa watakuja tena kuwa Mungu hayupo na tuliwadanya hivyo kuoana wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wananke ni sawa, yatafika tu muda si mrefu
 
si ndo haki mnazoletewa na wazungu hakuna kushangaa hapo.
 
Cha kushangaza ndoa imefungwa Kanisani daa!!


Luxembourg's Prime Minister Xavier Bettel, right, puts his arm around his partner Gauthier Destenay as they leave the town hall after their marriage in Luxembourg on Friday.

Hata kama huupendi ukristo hii ndoa imefungwa bomani.


 
Naona ndoa za jinsia moja kanisani zimeongezeka takribani kwa asilimia 500% ukilinganisha miaka 5 nyuma
 
kujitetea mnaweza ila dini yenu ndo mbovu kabisa hata haifai kuwepo. Dini gani inayohubiri kuua wengine kwa madai ya kupata amani peponi.
Alshabab,boko haram, islamic state
Ndoa ni ya mke na mme mmoja.tofauti na hayo ni uzinzi,sodomy nk.Wakristo hawatumii. Upanga kupambana na dhambi
 
Kama wanapendana why not? safi sana na pumbaf zenu wote humu mnaopinga na kuchukia mashoga.

Astaghafirullah!!Kumbe na wewe unachapwa nao.
Jinga kabisa wewe yaani unapumuliwa kisogoni na mwanaume mwenzio halafu unafurahi kabisa pumbavu watakutoa utumbo kwenye anus.
Acha hiyo tabia chafu.
 
Duh! Hata mzee Ban Ki Moon nae anasapot huu uvundo nasikia, cjui na yeye wanampumulia! Yan ni shida tupu afu ukiwauliza wanasema ni 'Human rights'

Most of times, Mtu aking'ang'ania hii kitu basi ni mdau
 
Back
Top Bottom