Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

1 Wakorintho 6:9-11. Biblia inataja watu ambao HAWATARITHI UFALME WA MUNGU.
1.Waasherati
2.Wazinzi
3.Waabudu sanamu
4.Ngono ya jinsia moja
5.Wizi
6.Wenye pupa
7.Watukanaji
8.Walevi
Hata hivyo inamalizia kusema mtenda dhambi akitubu anasamehewa na kusafishwa.Watenda dhambi wengi "hawajui walitendalo" wanahitaji kuonyeshwa njia NYOOFU ili wageuke.NB.Machoni pa Mungu Mzinifu(Mwenye michepuko) na shoga adhabu yao ni ile ile.
 
Unachaguwa bana Msikitini hauwezi kuona watu wanafunga ndoa za mashoga hata siku moja laki Makanisani wanafungisha hizo ndoa.

Hili ni tatizo kubwa na halichagui dini ya mtu! ukitaka tukuletee ushahidi hapa utalewa mwenyewe!
 
Haya mambo ulaya yameanza kitambo sana na ndiyo yanazidi kushika kasi mpaka maaskofu mashoga, watanzania na waafrika kwa ujumla wanakaza kuwaombea laana hayo mataifa yanayo jihusisha na ushoga, sasa nashangaa jambo moja badala ya hayo mataifa kupata laana ndiyo kwanza yanazidi kuimarika kwa kila kitu halafu sisi waomba laana maarufu ndiyo tunazidi kupigika ile mbaya kiasi tunawategemea wao kwa kila kitu na hizo laana zenyewe tunaziomba huku tumejifungia chumbani ili wao wasisikie, hivi hili linakuwaje ?, ina maana sisi tumeumbwa kwa ajili ya kuombea laana tu ?
 
Nasikia Hata shetani kachukia, maana kupumuliana si sehemu ya mikakati yake.
 
Mungu apitisha mbali kwa kizazi changu chote cha kwanza hadi cha nne laana hii isitufikie kabisa.
 
shangazi hebu tazama hapa vizuri. Utaliona kanisa vizuuri likifungisha ndoa hizi za kishoga.
Manake makafiri bila picha kuwa hawakubali kitu.
Ndio maana mpaka leo mnaabudu picha ya mzungu mwenye manywele ya mengi.

View attachment 252682

View attachment 252683

View attachment 252684

View attachment 252685

sasa kataa kuwa haya sio makanisa uaibike.

kafi.li mwenyewe


huyo kiongozi kapoteza mwelekeo. Hakuna aya inayoruhusu haya kwenye bible.


Ndo maana mna undugu na majini
 
Teh teh teh. Naona Saa mbaya za kuibuka Walevi wa Mapuya zimefika. Teh teh teh Nicholas umemuacha wapi? Niwaambie Wenzangu WAACHE KUUA mashoga ili Wewe uendelee kutafunwa kwa malipo sio? Ukiingia Anga zao na wewe hio chupi yako ya Hariri itatokea Front page ya Nipashe yenye kichwa cha habari "Boko haram wametafuna mgalatia Koba wamebakisha Chupi na Shanga tu"! Acheni michezo hii ya Kisodomi na Kutafuna Kondoo ovyo. Paulo mwenyewe Juu ya Unyama aliofanya Lkn hakutafunana na kondoo namna hii! Dah...!
unatamani sana kila mauzngumzo niwepo.Ushoga ulikuwa ktk pwani ya africa mashariki na mashariki ya kati long time kabla wazungu kufika maeneo hayo.
 
Last edited by a moderator:
unatamani sana kila mauzngumzo niwepo.Ushoga ulikuwa ktk pwani ya africa mashariki na mashariki ya kati long time kabla wazungu kufika maeneo hayo.

Leta ushahidi we Mlevi wa mapuya.
Hapa hatuko Kilabuni kuropoka ovyo tu.

Mi nakupa Ushahidi wa Picha hapa. Na wewe leta wa kwako.

View attachment 252897View attachment 252898

Watoto wa kiume NDANI YA KANISA wanafyonzana midomo na kondoo wengine wanashangilia tu.
Hivi huko Kishumundu mchezo huu pia mnafanyiana eti ee??
 
kafi.li mwenyewe


huyo kiongozi kapoteza mwelekeo. Hakuna aya inayoruhusu haya kwenye bible.


Ndo maana mna undugu na majini

Teh teh teh teh.

Kiongozi kapotea?
We ndo mbwenga kwel kweli.

Hebu nitajie KANISA MOJA TU Huko Nchi za Magharibi Lililosimama Kupinga USHOGA na Kupiga marufuku MASHOGA wasiingie ktk makanisa yao na kuendelea Kufanya MAMBO YAO YA KISHOGA.

We Hujiulizi Kwanini wazungu wengi Sana Wanaingia Ktk UISLAMU KILA SIKU?

Ukafiri ni Giza kubwa mno.
Tena Unapofua kabisa.
 
unatamani sana kila mauzngumzo niwepo.Ushoga ulikuwa ktk pwani ya africa mashariki na mashariki ya kati long time kabla wazungu kufika maeneo hayo.
ila wazungu wameuboresha ushoga, mpaka k@nis@ni, waumini tukatae haya mambo
 
ila wazungu wameuboresha ushoga, mpaka k@nis@ni, waumini tukatae haya mambo
si kila linaloitwa kanisa lazim liwe kanisa kwa uhasili wake..siku hizi hata viitabu vya kidunia watu hupenda viita bible wakimaanisha vina vitu vingi na kamili ...hata baadhi ya chambers huitwa Temples ...na mara nyingine vichaa waingiao makanisani nao wakijipatia nguvu hutaka kanisa lifanane nao.USidhani kwamba hakuna masheikh wanaohubiri ushoga?pamoja na mauaji yanayoendelea ktk nchi za kiislam, usidhani saudi arabia hakuna mashoga kibao.ktk wafanyakazi wengi wa nje ktk saudi arabia wengi ni mashoga na kwa vile sheria zao zinakataza wanaume kutembea na wanawake wasio wake zao ,basi wanaume hutembea na wanaume wenzao kwa uhuru kabisa.
 
kwani kujiwekea picture zako kunamaanisha hakuna wengine wenye zao?kwanza umewahi soma hii?Home | Daily Mail Online

Teh teh teh.
Unaleta habari ya Scottish Mps Mimi inisaidie nini? We gongo itakuua.

Hebu cheki Jamaa zako Wa rombo hapa Kitu gani wanafanya.

1432026938155.jpg

Kumbe watu km wewe na 2013 ile maneno haifanyi kazi.
Jogoo limekataa kuwika mpk wake zenu wanaagiza Midume kutoka Kenya.

Dah..
Pole sana.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilijaribu kufikiri siku moja kwa kina kuhusu hisi jambo nikaja kugundua kuwa hawa jamaa kikubwa kinacho waumiza nakupelekea jinsia moja kuwa na matamanio na jinsia nyingine,kwanza kabisa ni ubinafsi wao unakuta familia ina mtoto mmoja au wa wili hapo kuanzia malezi mpaka makuzi ya huyu mtoto au watoto wanafundishwa changu ni changu nasio chafamilia au cha jamii,sasa hali kama hii mara nyingi huleta upweke pale mfarakano unapotokea katika familia husika,sasa wahanga wanapotafuta relief huji kuta wakitumbukia katika mikono ya ulaghai na uasherati.

Pili katika tafakuri yangu na hisi pia sheria za kibinadamu zinazoondoa uwepo na hofu ya sheria za Mungu kama vile wanawake wanapotamani kulingana au kuwa sawa kabisa kwa kila hali na wanaume katika maamuzi,utendaji,uongozi na kadharika..Hii pia imeathiri kwa kiasi kikiubwa mataifa haya mpaka kufikia baadhi ya wanaume kutotambua tena thaman ya uanaume pengine kuhofia hizi sheria kandamizi nakujikuta katika matamanio na watu au mtu walio katika jinsia sawa...
Ukikjaribu kuuliza ni jinsi gani hawa watu au hii jamii inavutiwa vipi na mahusiano ya namna hii hautapata picha kamili ya hisia zao juu ya hawa viumbe,sasa ukitazama ulaya watu hawataki tena kuzaa,hawataki tena kulea,hawataki tena kuheshimiana kati ya wapenzi wawili,watu wako katika matamanio ya starehe na anasa za kidunia..!!!

Challenge tulionayo waafrika ni moja,sikukaa na kuanza kulia kuwa dunia imeisha nakadharika sasa niwakati wetu na sisi kutetea utu wetu na heshima yetu kama waafrika na si kulazimishwa kufanya hata yale yasio stahili kwa akili ya kawaida,leo hapa jukwaani tunaona kushangazwa lakini kaeni mkijua mpaka sasa kuna NGOs' kadhaa Tanzania ikiwemo JHpiego zinazofanya stuies na kwa wakati huo zikishiriki kutoa elimu katika jamii kuhusu mahusioano ya jinsia moja,kutulazimisha kuupokea na kuukubali utamaduni huu mpya..!!!Je tunawalinda vipi watoto wetu kuepuka kadhia hii na kunasa katika huu mtengo wa kimagharibi?? hasa ukizingatia kuwa idadi kubwa ya familia ya kipato chakati na juu tunatamani watoto wetu wapate elimu yenye rangi na radha ya kimagharibi bila kutathimini athari mojawapo ya haya mapokeo..

Sikwamba kila kitokacho ulaya na marekani nikizuri machoni petu,vingine ni vya kukerehesha na kuhudhunisha..Marekani na Ulaya wamekweshikuharibikiwa hawana jinsi tena ya kujiokoa,sasa kilicho bakia nikuhalalisha baadhi ya upuuzi kuwa haki na kuyalazimisha mataifa mengine kuharibikiwa kama wao ili dunia iwe namuonekano unao fanana,kusiwepo na wakumcheka,kumuonya na kumkanya mwenzie..!!!
 
Teh teh teh. Unaleta habari ya Scottish Mps Mimi inisaidie nini? We gongo itakuua. Hebu cheki Jamaa zako Wa rombo hapa Kitu gani wanafanya. View attachment 252909 Kumbe watu km wewe na 2013 ile maneno haifanyi kazi. Jogoo limekataa kuwika mpk wake zenu wanaagiza Midume kutoka Kenya. Dah.. Pole sana.
km halifanyi kazi nipangie watu wa jinsia ya kike ktk famili yenu wote,nianze na mmoja baada ya mwingine....na ikiwa bahati tarehe zao zimekaa vizuri pamoja.Unaweza kuna ukipata wadogo zako,wajomba, etc.Haya magazeti yanayoandikwa na watuw asioweza fanya anlysis vizuri,na huyo mkuu wa nae sijui km ana tofauti na akina Nape..wakenya na wakongo wengi hujiozesha kwa wanawake wa ktz kwa sababu mbalimbali..zikiwepo za uzuri,kujipatia matunzo ya bure, hata wengine kutaka uraia..sasa km huyu kenge hakujua hayo aache ujinga.Wanawake wengi wa Rombo waume zao hawapo,wengine wameachika,wengine ni wajane, hawakuna wa kuwaoa ,hao vijana wanaokunywa pombe kila mahali wapo....pia ijulikane wanawakehupenda wanaume wa sehemu tofauti...wapi wanawake ahwaliwi na watu wa nje..Tanga..napo wanawake wanalalamika wanaume zao ni mashoga na wakaa vijiweni,wapi kule mbeya,wanawake nao wanadai kuwa wanaume wazuri wapo nje ya mkoa, upare au manyara na singida wanawake wanasemwa kwamba wapo huru sana kingoro...
 
Last edited by a moderator:
km halifanyi kazi nipangie watu wa jinsia ya kike ktk famili yenu wote,nianze na mmoja baada ya mwingine....na ikiwa bahati tarehe zao zimekaa vizuri pamoja.Unaweza kuna ukipata wadogo zako,wajomba, etc.

Km una sifa hizo nenda Uchagani Rombo kwa Walevi wenzako.
Lkn wewe na Hizo Gongo unazokunywa kila siku nina hakika huko chini umebakiza cha kuendea haja ndogo tu. Ile maneno Kwisha Khabari yake Loong time.
Dada zako wagalatia wa Kichaga wanaagiza wanamme wa Kijaluo kutoka Kenya. Hii aibu kubwa sana.

Teh teh teh.
 
Km una sifa hizo nenda Uchagani Rombo kwa Walevi wenzako. Lkn wewe na Hizo Gongo unazokunywa kila siku nina hakika huko chini umebakiza cha kuendea haja ndogo tu. Ile maneno Kwisha Khabari yake Loong time. Dada zako wagalatia wa Kichaga wanaagiza wanamme wa Kijaluo kutoka Kenya. Hii aibu kubwa sana. Teh teh teh.
Haha...wajaluo ndio wanatafuta wanawake wa ktz,sasa km wajane wapo ,au mabaa medi na wengine waaluo ndio wa kuoa.Pengine serikali yako ndio haijui kwamba wajaluo wanataka uraia.Suala la wanawake kuliwa na wanaume wa nje haswa ktk ktk jamii za kiafrica ni too complex achilia duniani kote.Mimi sijui km kuna kabila huko pwani watz watakuambia wanawake wanaafadhali ,historia za bara kuhusu maisha yao ya kwanza pwani ni mabmabo yanayowakuta wakipanga nyumba za wenye nyumba wenye mabinti.Na hii ni kwa makabila yote pwani.Pengine muda huu umesahau mafiga matatu huko pwani.Hizo habari hazina uhalisia...VIPI UMEPOTEZEA HABARI YA PRINCE WA MLEZI MAENEO MATAKATIFU?MLezi wa miji ambayo yote ni madhabahu yenu...hamumrushu ------ kufika ktk huo mji ila mashoga tuu...Ni muda wa kujifunza kwamba sasa hivi shetani kupitia ushoga anapelekea waumini wa kweli kupigwa vita kila mahali kwa HII DINI USHOGA..si kweli kwamba mashoga hawana shida ktk akili au wana furaha sana.Km wanavyotaka tangaza,na si kweli wote watakufa wakipenda ushoga..kwa amani dunia itaona shida na wanawake wataanza kuwa wakali,wanaume wa kweli nao wataanza watenda mashoga bila shari.Kasi yao ya ku recruit watoto wa wengine wawe mashoga itafikia mwisho.
 
Haha...wajaluo ndio wanatafuta wanawake wa ktz,sasa km wajane wapo ,au mabaa medi na wengine waaluo ndio wa kuoa.Pengine serikali yako ndio haijui kwamba wajaluo wanataka uraia.Suala la wanawake kuliwa na wanaume wa nje haswa ktk ktk jamii za kiafrica ni too complex achilia duniani kote.Mimi sijui km kuna kabila huko pwani watz watakuambia wanawake wanaafadhali ,historia za bara kuhusu maisha yao ya kwanza pwani ni mabmabo yanayowakuta wakipanga nyumba za wenye nyumba wenye mabinti.Na hii ni kwa makabila yote pwani.Pengine muda huu umesahau mafiga matatu huko pwani.Hizo habari hazina uhalisia...VIPI UMEPOTEZEA HABARI YA PRINCE WA MLEZI MAENEO MATAKATIFU?MLezi wa miji ambayo yote ni madhabahu yenu...hamumrushu ------ kufika ktk huo mji ila mashoga tuu...Ni muda wa kujifunza kwamba sasa hivi shetani kupitia ushoga anapelekea waumini wa kweli kupigwa vita kila mahali kwa HII DINI USHOGA..si kweli kwamba mashoga hawana shida ktk akili au wana furaha sana.Km wanavyotaka tangaza,na si kweli wote watakufa wakipenda ushoga..kwa amani dunia itaona shida na wanawake wataanza kuwa wakali,wanaume wa kweli nao wataanza watenda mashoga bila shari.Kasi yao ya ku recruit watoto wa wengine wawe mashoga itafikia mwisho.

1432038872001.jpg

1432038840432.jpg

Chunga Mkeo , wajaluo wanakuja hao!

Teh teh teh teh

Cc mkishumundu 2013
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom