Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

Kituko: Waziri Mkuu Luxembourg afunga ndoa ya jinsia moja

Ama kweli ukristo umepukutika kabisa ulaya na marekani, tumaini pekee limebaki afrika kusini mwa jangwa la sahara peke yake
 
Ama kweli ukristo umepukutika kabisa ulaya na marekani, tumaini pekee limebaki afrika kusini mwa jangwa la sahara peke yake
Wakristo wengi walichinjwa kama ilivyofa nyika libia,iraki,irani nk
 
ila wazungu wameuboresha ushoga, mpaka k@nis@ni, waumini tukatae haya mambo
Haha..kwanini nini wazungu hawajakichukua na kukiboresha au kukipeleka mbele?Hata uislam uliiimarika ktk Spain na Turkey ila haukuwa dini yenye maada kimaandishi.But that doesnt mean kwamba ni wazungu zote wanaridhika na hiyo hali,wapo wengi tuu wanapigana vita mahakamani ktk nchi zao,wapo wengine wanapigana kuhamia Africa wakiamini ndipo patakuwa na maadili na km patawekezwa,ila na hao wa ushoga nao wanakimbilia africa km shamba jipya.Ila mwishowe waliouchukua ushoga wataperish na wengine watakuja shughudia kwamba waliingia ktk issue bila jijua na sasa hawajapata hiyo amani ya roho wala kuona sababu hiyo.
 
Laana Kubwa sana ndoa ya jinsia moja... Inabd tukumbuke maandiko yanavyosema kuhusu wanaume kuingiliana.. Dah mtihan mzito sana huu
 
kumbe kahtaan huwa unafuatulia ze udakuz? mona mbunge lishajibu Bungeni kuwa ile ni kashfa na udhalilishaji

Leo mchaga unachukua stori za wabunge na kuziacha za kweli?

Bora kufilisika pesa kuliko busara.
 
Ama kweli ukristo umepukutika kabisa ulaya na marekani, tumaini pekee limebaki afrika kusini mwa jangwa la sahara peke yake

Aisee huo sio UKRISTO ni wendawazimu, Ukristo hauna hayo madudu wala upunguani huo,Daa hawa jamaa wamefikia mwisho wamebaki kujifia tu! Narudia tena huu sio UKRISTO huu ni ushetani na mambo yake!
 
Waziri Mkuu wa Luxembourg Xavier Bettel (Mwanaume) amefunga ndoa na 'mpenzi' wake wa siku nyingi Gaunthier Desteney (Mwanaume).

Muungano huu wa jinsia moja ni wa kwanza kufanywa na kiongozi wa jumuiya ya nchi za ulaya.
Huyu bado yupo madarakani au?
Je kipindi hiki cha Rais mpya wa Marekani Donald Trump ataweza kwenda Marekani kufanya ziara ya kiserikali?
 
Back
Top Bottom