Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,207
- 42,068
Dunia kweli ina mambo. Wakati changizo likiendelea ,alijitokeza jamaa mmoja aliye jitambulisha anatokea singida akasema " kwetu singida hakuna mbunge,tunaye kijana wa ccm ambaye ni mzinzi,tunawakaribisha sana jimboni kwetu.
Natoa million 1 na laki 5 nitatoa kesho" jamaa alikuwa akiongea kwa hisia sana na kuonekana kukelwa na jambo hilo.
Natoa million 1 na laki 5 nitatoa kesho" jamaa alikuwa akiongea kwa hisia sana na kuonekana kukelwa na jambo hilo.