prospa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 554
- 157
Nakumbuka enzi hizo nilikuwa sijawahi kuingia Hotelini wala mgahawani,
sasa one day rafiki yangu akanipa offer ile kufika kwenye mgahawa wa kisasa kimtindo si nikaanza kupiga hodiii, hodiiii wacha rafiki yangu aangue kichekoooooo, wewe ulifanya yepi enzi za ushamba
sasa one day rafiki yangu akanipa offer ile kufika kwenye mgahawa wa kisasa kimtindo si nikaanza kupiga hodiii, hodiiii wacha rafiki yangu aangue kichekoooooo, wewe ulifanya yepi enzi za ushamba