thatone
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 365
- 196
But he sayed 20+ pengine 26,27,28,29 [emoji126][emoji126]Mtoto mdogo + kujua nyuchi mbalimbali I mean
But he sayed 20+ pengine 26,27,28,29 [emoji126][emoji126]Mtoto mdogo + kujua nyuchi mbalimbali I mean
oky mkuu unchukua muda gani kufall in love na kuingia kwenye mahusiano?Aisee hakika umeandika ukweli kabisa.
Kuhusu kukosa maelewano kawaida tunajadiliana kisha mambo yanaisha,
Kwakwel wapenzi wangu wote ni marachache sana ama hakuna nliefanya nae la maana, isipokuwa huyu wa mwisho nimesomanae chuo pia kipindi namaliza chuo tulikua tunafanya bihashara pamoja, lakini kwasasa mm ndio namaliza na yeye anaingia mwaka wa mwisho.
Kiukweli nikisha achana huwa sikumbuki chochote kwa nilie kuwa nae.
Huwa ina vary ķulingana na mwanamke mwenyew kuna ambao nlichukua mda mfupi lakini wachache huwa napita nao stage ya friendship kwanza. Lakini chakushangaza sijawahi fanikiwa kuwa na mwanamke ambae tumeanza kuwa marafiki kwanza.oky mkuu unchukua muda gani kufall in love na kuingia kwenye mahusiano?